PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Saturday, February 20, 2016

THE NEW GF MIN DEPOT AT KIHESA - IRINGA....

Hello dears,
Jehovah has done me well!!!
 
 I am happy, i am healthy and i am thankful!!

Out of topic...
Before sijaanza na topic ya leo pleassssseeeeee, najua nawakwaza wengine so mnisamehe bure...na wengine nawaburudisha so endeleeni kuwepo... 
Naomba niseme hiviii... I am too busy making money, Magufuli kasema hapa kazi tuu,mimi kama mimi kiukweli naona uchumi ni mgumu sana kwa sasa and still mie napenda maisha mazuri, vitu vizuri na kula bata... And kwa Mchagga mie hela ya mume ni just a ''BONOUS''
(I am always thankful and greatful for my bonous though, maana inakuwaga bongeee la bonous, hahahaaa)
So i choose kutafuta pesa yangu kuwe kwa moyo mmoja na Mungu awe mbele yangu kwa yote and when it comes to ''my money'' i even find friendship ni luxury ambayo i can't afford...
So dear shoga'uyoga wa mie sio kama nakupotezea na mbwembwe zako za kibibi, ni kwamba nimekuhifadhi tuu kwa muda and i promise you that i'll get back to you maana hapa utachoka wewe, mie ndio kwanzaaaaa na'enjoy hatareee so endelea... Ila when nikikuanzaaaa, niamini mimi kuwa utajuta, yesss you'll surely regret!!! Maana mie matusi siyajui, na kamwe siwezi kukuita kiungo cha mwili chochoteee maana kila kiungo cha mwili for me nakiona kina thamani kubwa sana so nitakuwa nakikosea heshima kukuita wewe jina la kiungo cha mwili etiii kiwe kama ndio tusi lako...Nilishakuambia kuwa wewe tuu ulivyo ni bonge la tusi so siwezi kukutukana mpenzi, all i can do ni ku'describe tuu ulivyo and the rest nakuacha utetemeke na pressure!!!  So can't wait for you umalize kunipa majina yoooteee ya viungo vya mwili... Maana vikiisha sijui utaniitaje tena...hahahahaaa!!! And my mamaa taught me well so siwezi kutukana wala kugombana na wakubwa...hapa ni facts tuu ila pressure lazima ikushuke!!!
Ngoja kwanza nitafute pesa then.... Hahahahahaaa!!!!Shogaaaa.... Utaja nielezea kilichomsibu bi.mkubwa hadi akakuachia ''mzigo'' wa kulea kwa matumaini, ''zawadi'' ya kuishi kwa matumaini na ''suprize'' ya kupata haja kubwa once in two weeks... Kiruuuu!!!Ningekuwa nimehadithiwa haya na mtu baki wallahhh vile nisingeyaamini... hahahahaaaa... Hivi wewe ni binadamu wa aina gani atiiiii??? Like seriouslyyyy..a whole week no doing that thing??!! Hahahaa, mie siku mbili tuu na'data...kwani wewe walaga nini?? What do you eat darling??? Dah!!umetisha shoga'angu.... 
Ila as i said, i am too busy making money... so sina muda now wa drama zako!!! Ngoja nisake pesa kwanza my dear...

Back to the topic sasa....
Finally my other office imeanza ku'operate leo... It's THE NEW GF MIN DEPOT at Kihesa Iringa...
So, kwa sasa GF MIN DEPOT ipo na one branch ambayo nayo pia itaenda na the same name ''GF MIN DEPOT" ila hii mpya ipo maeneo ya Kihesa-Iringa, the Dodoma road ama Kihesa sokoni kituo cha daladala maarufu kama kituo cha garage...
 
The New GF MIN DEPOT pia ina'deal na uuzaji wa Jumla wa vinywaji vya aina zote..(In a wholesale prices only) So kwa wale wateja wangu wa maeneo ya Tumaini University, Mkimbizi, Ngome, Mtwivila na maeneo jirani na Kihesa kwa sasa huduma za vinywaji zimerahisishwa na kusogezwa karibu nawe kabisaaaaa.... Na huduma zetu ni zenye viwango vya hali ya juu, bei zetu ni very affordable na bila kusahau free transport na free ushauri pia!!!
Mteja kwetu ni rafiki and msisahau kuwa GF MIN DEPOTS are the best in town!!!!  
 I am not there yet but definitely i am not where i used to be!!!
Mdogo mdogo tuu nitafika... Taratibu ndio mwendo... Huku pia patajaa na''depot'' nyingine ya tatu itafunguliwa Inshallah!!!
 My new office... ''2016th goals''
Karibuni sana wapendwa wa mie... Karibu sana pia my shogaa'uyoga!!!
 
 Mje tupige story za biashara... Mje tupeane ushauri... Mje tuelekezane mambo za kutengeneza pesa... Mje tupeane moyo na changamoto za uchumi...
Maana without you all, mie sio lolote... 
Na ndio maana nawapenda sana, zaidi ya sanaaaa wooteee!!!

Yes, Love you all... Love you so very much!!
XOXO...

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT