PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, July 4, 2017

KI'DUKA CHA MANGI...

Hellow beautiful people,
Habari za leo, it's such a beautiful-Tuesday and i feel beautiful in and out!!!
Image may contain: 1 person, smiling, closeup
Sasa before ma'story mengine kuendelea ebu niwajuze kwanza kitu... 
If mlikuwa mnajua basi niwakumbushie, and if mlikuwa hamjui basi sasa mjue... kuwaaaa, mie siku hizi ni ''muuza duka'' tena ki'duka cha mangi haswaaa...hahahaaaaaaaaa!!! Maana ki'duka kina mazaga zaga ya kila aina yaani... 'Mangi' mie nimejipanga kuwatimizia mahitaji yenu yoteeeeee muhimu so karibuni sana wapendwa wa mie...
Ukiachana na maswala ya m.pesa na vocha za aina zote pia utajipatia mambo mengiiii moto motooo!!!

Mie nasemaga ''mwanamke jiko,haswaa ukiwa wajua kupika''... So katika kiduka cha'mangi mie utajipatia mazagazaga muhimu ya jikoni na mapishi... Utajipatia bidhaa mama, yaani the majour-product ambayo ni ''GF-SUPER SEMBE'' unga mtamuuuu wa Ugali, unga mweupe pee,yaani hata kama hupendagi Ugali,trust me ukiula Ugali uliopikwa kwa unga wangu lazima ujirambee(In Chibu's voice)
No automatic alt text available. 
No automatic alt text available.
Pia kuna Tambi za aina zote, chumvi, tomato and chill sources, mikate, sukari, blue bands and peanut-butters...Mafuta ya kupikia, Dagaa watamuu wa Mwanza na Kigoma walio well-packed...
Image may contain: 1 person, closeup and indoor
Bila kusahau bites kama cakes, biscuts, chocklates, pipi za kila aina, big G, batooks, karanga za kaka Daimond, karanga za mayai, chrips, popcons na hip-hop....

Kuhusu suala la usafi pia kuna sabuni za maji na za unga, zipo pia sabuni za kipande za kufua na za kuogea, hand wash na body wash zenye flavours nzuriiiii sana... Dawa za mswaki za aina zote pamoja na miswaki mizuri ya Colgates and Whitedents for wakubwa na for kids....
No automatic alt text available.
Ki'duka cha Mangi Gf
Kwenye urembo tuna body creams, rasta, body lotions na mafuta ya mgando... Kuna hair-tonics, shampoos na dawa za nywele... Pia poda na foundations za warembo zipo, wanja na lip bams pia za kila aina...
 Image may contain: 1 person, closeup and indoor
Heee, nisije nikasahau jamani pia kuna lesso nzuriiii na vitambaa vya jikoni na vya kufutia vumbi kwenye magari... Hapo hapo vitu muhimu kama chupi na boxers za kiume pia zipo...Shavers na viwembe,tissues and toilet papers pia... Yaani vile vitu muhimu muhimu tuu dadadeki zangu sitaki mpate tabu!!!
Alafu unajua ni niniii????!!! Hivyo vitu vyooooteee ivo vipo under one roof, and that's my shop...Gf Shop and ki'duka cha mangi G...hahahahahaa...
And hapo hapo mie mwenyewe ndie sterringgg, chezeiyaaa!!!!

Image may contain: 1 person, closeup and indoor
Karibuni sana niwahudumie na tuike story mbili tatu, na ke'selfie kamoja matratraaa kabaisaaa!!!
 Mawasiliano: 0753 891 997

Nawapenda sana!!!
XOXO...

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT