PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, February 17, 2015

BATA LA VALENTINE ''ZARI & DIAMOND''

Helow dears.... 
Mamboz!!!
Wakati wengine tukiendelea na kula chocklates zetu na ma'nini ma'ninii....huku wenzetu wanakula upepo wa bahari... Hhahahaaaa.. Kweli kupendwa raha, haswaaaa upendwe na yule unayemzimikia kinoma noma, ama neneeee (In Wema's voice)

Hili ndio lilikuwa bata la valentine la ''kaka'' pamoja na wifi yetu lilikuwa Zanzibar
Hadi raha wallah!!!!

 
Yeuwiiii...ivi wataachana kweli hawa??? Hahahahaaa..
Just thinking tuu aisee itakuwa noumer!!!

 
Zari tukomesheeee wifi yetu!!!



Wapi ndimuuuu...maana nazihitaji kwa wingi aiseee.. Hapa nimenunajeeee!!!

XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT