PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Wednesday, February 25, 2015

MY FIRST BORN IS 5 YEARS OLD... THANK YOU JESUS!!!

Dears,
As my son kufikisha miaka mitano, nina mengi sana ya kumshukuru MUNGU kwa ajili yake..
Lord, I am thankfull!!!
 My first born.. My Fred!!


Five years ago Mungu aliporuhusu nifanyiwe upasuaji kumleta Fred(Son) duniani, shetani alipata njia ya kunijaribu.. Uzazi wangu ukawa na ma'complications kibao...
Nilikuwa na nguvu kabisaa till a week before 23rd Feb 2010 ila nilikuwa na uwoga sana maana kila kilichokuwa kinanitokea was very new to me... Nilikuwa na maumivu ya ajabu for a whole week, maumivu ambayo sio uchungu according to madaktari..(i've never had uchungu)..  Ila nilikuwa na nguvu ya ajabu, nilikuwa naweza kufanya almost kila kitu by myself...nilikuwa sipendi nisaidiwe kitu yaani...
Nilikuwa chini ya uangalizi wa daktari maana makadirio yalikuwa yamepitiliza sana.. Hapo pia mimi niliogopa kidogo maana nilipitiliza months ata sio a week or two.. Na zaidi pia Ultra sound zilionyesha mtoto yupo ready kabisaa kutoka, ila njia ziligoma kufunguka na hazikuwa hata na dalili ya kufunguka kabisaa..
Sikuwa najua lolote about njia kufunguka zaidi ya kuwa tuu nasubiria nione atakavyotoka mtoto..
Wakati nasubiria siku mtoto wangu atoke kumbe nae mtoto akachoka sana na mapigo yake ya moyo yakashuka, my blood pressure shoot and maumivu yaliongezeka.. Nikawa siwezi kupumua vizuri ila najikaza napumua na mdomo, wakaniwekea mashine ya kupulia.. Mwili ukaanza kuvimba... It was a very scary moment aisee....
Iyo sasa ni 23rd Feb 2010 mchana saa nane madaktari walitaka tu'sign ni nani tunachagua ili wayaokoe maisha yake maana it was a situation ya kumuokoa either ''mama'' au ''mtoto''...
(All that time kumbukeni nilikuwa najielewa kabisaa na nina nguvu kiasi yaani ni kwamba ukisikia vipimo vya doctor anavyoelezea na ukiniangalia mimi unaweza ukasema si kweli nipo in that risk)
Ilitakiwa a'sign mtu wa karibu na mie au ni'sign mwenyewe.. (I guess ndio utaratibu wa iyo hosp ulivyokuwa) Kila mtu alitaka niokolewe mimi, my mama mkwe ndio alisema hilo sio swali la kuulizwa maana jibu ni wazi tuu niokolewe mimi... 
My hubby said ni'sign tuu kuokolewa mimi maana tutapata ''mtoto'' mwingine.. It was such a hard time maana nilikuwa tayari madly in-love na my unborn baby boy(Fred).. I was so much in-love yaani hadi sikutaka tutenganishwe na chochote..
Dears, one secrete about me ni kwamba I pray, so that day all I could think of ni kusali tuu.. And nilisali haswaaa... I prayed like never before, nilisali hadi nikafikia stage ya kumvuta Yesu (like physically yaani) nikamshusha hadi tukawa face to face then nikaanza kuzungumza nae.. And aliniahidi kitu kimoja, atanipa familia nzuri PERIOD!!!!
After that, I refused ku'sign kuniokoa mie... Nilikataa maana niliamini hatatokea ''mtoto'' mwingine kama Fred(son) wangu.. Nili'sign wamuokoe ''mtoto'' kwanza then swala la ''mama'' waache MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE... 
Madaktari walisitasita na maamuzi yangu, ila niliendelea kusisitiza kuwa ''mtoto'' atabaki in safe hands of my mama mkwe and hubby plus so many aunties...
And if sintakuwepo arround to see him, i'll always be watching over him in heaven, ila nikibaki mimi my life will be miserable ambavyo hamna mtu angeweza imagine..

Wapendwa, MUNGU ni mwaminifu na ahadi zako sio kama za wanadamu, akikuahidi jambo lazima alitimize.. Aliniahidi atanipa familia nzuri and that what He did!!!
In less than an hour wote ''mama'' na ''mtoto'' tulitoka theater wazima wa afya and tupo hai hadi leo ni miaka mitano imepita tunaendelea kumtukuza Mungu kwa matendo yake makuu anayotutendea!!
Fred(son) is my original soul, he is my first pure love and my first born ambaye siwezi mpata mwingine kama yeye.. Infact he is actually my very first experience of Agape love.. Upendo ule usio na mawaa, i just love him to bits.. He gave me such a lovely experience ya mother-hood... Asante Mungu kwa zawadi hii nisiyoistahili kwa uwezo na nguvu zangu, bali ni kwa Neema tuu na Rehema zako!!
 What else can I say zaidi ya ASANTE YESU... THANK YOU JESUS FOR EVERYTHING!!!
 

Thank You Jesus Kwa Baby Boy Fred,

XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT