PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Monday, February 16, 2015

IT'S A BEAUTIFUL DAY....

Hey wapenzi,
Happy New-week everybody...
Yaani kiukweli natamani nipate diet ambayo ni rahisi na haitanipelekesha sana maana bado nameza dawa za kifua... Juzi nimeanza ile diet yangu hadi nikawa napatwa na kizunguzungu, natetemeka kabisaa nikikaa na njaa..
Na ninazidi kuwa kibonge hadi sijielewi, nahisi njaa kila mara, sijui ni nini yaani?? Ebu mnisaidie katika hili...natamani tuu kula kula kila saa... Najihisi tofauti mno!!
Au I am pregoooo, hahahahhaaaa!!! (Jocking jamani msije mkaanza maneno, maana nawajuaaaa)
It's a beautiful day and I am feeling great leo, much much better... Kifua na mafua sasa ndio yanaishia so I start feeling myself back.. 
 
Faith pia anaendelea vizuri so nimepata tabasamu back on my face maana shostito wangu akiumwa yaani nakosaga raha kabisaaa!!
 
Yaani leo nina raha so hata wale waliotaka kunikera leo naomba niwaambie kiukweli walaaaa hamjanikera.. Yaani nimewaona kweli nyie ni vizungumkuti... (Dont even know the meaning of vizungumkuti, hahahahaaaa..lol) Hivi kweli mnaodhani my hubby hasomagi blog yangu?? Aisee poleniiiii, maana anasomaga kila kitu na kila siku.. 
Sasa kama hapendi au anapenda ninachoandika hiyo haiwahusu?? Inanihusu mimi na yeye so mkome kumuadisia maana na yeye anajua kutumia Internet, hii blog sio facebook account wala insta hadi uweze kum'block mtu.. Anyone can view it muda wowote as long as una internet access.. Sawa eeeh??!! 

Na mpaka nimekiandika hapa basi mjue kuwa najiamini nacho... Na nipo tayari kwa matokeo yoyote ndio maana sijawahi delete any post tokea nianze ku'blog...

Once again dears, this is my blog. mine and mineeeee.... So,nita'post chochote nitakachojisikia.. Wewe hupendi ninachoki'post si u'log out tuu kiroho safi jamaniiii, kwanini unapenda kuja huku wakati nakukwaza eeeh??? Ni kama vile unapenda kukwazika basi... Hahahaaaa.... Stop that banaaa, au kama vipi wewe yavumilie tuu kimya kimya!! Usitafute relief kwa Fred (my hubby) maana sio yeye anayeandika hapa, kiruuuu...ni mie mwenyewe ndio ninaandika na sishauriwi wala kuambiwa na mtu kitu cha kuandika hapa.. Yeye nae ni msomaji tuu kama wewe, so naona kama unamuonea ivoo mume wangu, yaani unamchosha!! Hahahahaaa...

Aya sasa nadhani tumeelewana...



Nawapendajeeee..
XOXO!!!

1 comment:

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT