PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, June 5, 2015

I NEED A NEW CAMERA....

Dolls...
Jamani natafuta camera mpya ya bei rahisi pleaseeeeeee... Narudia tena ''ya bei rahisi'' ila iwe nzuri, itoe picha clear and natural, ningepata ya ''sonny'' ningefurahi zaidi.... 

Picha kwa hisani ya my ''Oldd-camera'' 

"old-camera'' pleaseee nitake radhiiii...duh!!!


Ile camera yangu nzuriiii, last week nilikutana na mzungu akaishobokea, akajipangia na bei eti nimuuzie, aiseee.... nikaiuza huku roho inaniumaaaaaa.... bei aliojipangia ilikuwa ''nono'' ila na picha za ile camera pia nazipendaaaa, duh!!!
Uchagga huu, nikashindwa kukataa hela maana was hela kama ya kuinunua ikiwa mpya kabisaaaa na vijichenchi vinabaki.... waiiiii,nikaiuza mie!!!
Sasa nakomajeeee... Ninayo moja ya zamaniiiii ila sina battery zake and nimeshazitafuta sana sijazipata, so now nai'charge kwa USB and haikai na charger hata ya kupiga picha kumi, inazimika fastaaaa...nahisi hii ipo tuu kama back-up ila i reeeallllyyyy need a new camera, tena soooooonnnnn and very soon maana nahisi kuchizika nisipokuwa na camera ninayoiamini....

Kama unayo camera nzuri pleaseee nicheck kwa 0753 891 997 tufanye biashara... Iwe bei rahisi pleaseeee, maana zile hela za mzungu nishaziingiza kwenye issue nyingine... Hahahaa!!!


Mmmmh.... Mie sipo ivo aisee hii Old-camera imenikosea heshima, hahahahahaaaaa....



Nawapendeni ni ajeee sasaaa!!!
XOXO...

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT