PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Saturday, November 22, 2014

KELEUWIIIII... NGACHOKA KABSAAA KABSAA!!!

Wapendwa,
Jamani jamaniii, najua wengi mtakuwa mmeshaiona hii video huko Instagram ila aisee mie nimeshindwa kuvumilia, yaani hadi nimelia... Imeniumiza kupita maelezo.. Utumbo unanicheza kila nikiiangalia yaani siamini amini kinachoendelea...
Yaani leo ndio nimeamini hawa wadada wa nyumbani (house-girl) sio wa kuwaamini kabisaaaa... 
Taarifa nilizonazo hadi sasa ni kwamba, hii issue imetokea huko Uganda, ni baada ya baba wa mtoto kuhisi mtoto amekuwa mnyonge na amekuwa na hali ya hofu... Akaamua kuwekea ''nanny camera'' nyumbani kwake ili kucheck how his baby anavyoshinda siku nzima.. Siku ya siku akiwa ofisini kwake ndio akaona haya yanaendelea....



Udaku ni kwamba,
Mama mtoto alizimia baada ya kuona hii video!!! Na baba mtoto alimpiga maid nearl to death... So maid yupo ICU and the baby is fine kwa sasa...

Leo hadi nimekumbuka kichaga atiii, keleuwiiii,ngachoka mie!!! Katoto kalivyo kazuriiii... Aaawwww!!!
 



Kweli kabisa tunahitajika kuwa na ''nanny cameras'' at our houses.. Mwisho wa siku tutakuja kuwazika watoto bila kujua ukweli wa vifo vyao... Dunia imeisha jamani nyie!!!

Yaani hata kama hujawahi zaa wala hujui uchungu wa mtoto ila ukiiangalia tuu hiyo video lazima roho ikuume..

Mie nimewaza leo, huu u'busy wa kusaka chapaa hadi sometimes sionani na my F-Babies a whole good day, maana some days naondoka wamelala and narudi wamelala... 
Hivi tena kuna school bus, ndio walaa siwazi maana najua atafatwa kupelekwa shule na atarudishwa.. Nikiwakumbuka tuu mchana kama wapo home nampigia maid simu naongea nao and that's all... Aiseee, nimepata somo, aisee watoto ni bora kuliko pesa... Nitakuwa siondoki home hadi nihakikishe wameamka wote nimewaona wanavyotoka and nitakuwa narudi before hawajalala aisee wanipe story za siku nzima, niwakague kabisaa hadi mwilini nihakikishe wapo oky na walale ndio nikaendelee na mishe nyingine...
Simuamini tena my maid hata robo, inawezekana tunachekeana ila nikitoka nyuma ananikomeshea wanangu.. Uuuuuuwiiii, ila my F-Babies wanampendaaa...atakuwa hayupo kama huyo mwendawazimu aiseeee, hahahahaaa!!!

All in all, jamani tujitahidi kuwa karibu na watoto wetu, mostly kwa wale ambao bado hawajajua kuongea... 
Maana atleast anayejua kuongea anaweza sema ''dada chapa''
Kazi zipogo tuu, na pesa hazijaagi wapendwa... Ila utamu na uchungu wa mwana aujuae mzazi!!!

xoxo!!!

2 comments:

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT