PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Monday, May 18, 2015

BLUE MONEY-DAY....

Hellow sweet'hearts...
Happy new week... It's blue Monday and i call it Blue Money-Day maana naamini ''kila ninapopata nafasi nyingine ya kuona siku mpya, ni nafasi mpya ya kupata pesa nyingine''...
(Ni akili zangu za Kichagga izo zikiwa backed-up na ka'degree kamoja tuu, ebu na wewe iga iyo, then come and thank me latter) 



Aya sasa kazi kazini...
Kwa wateja wa Gf Min-Depot mkae mkao wa ku'enjoy maana soon tuta'introduce a new spirit in the market... Yeah, ni kinywaji kipya kabisaa, kwa wale wapenda ''spirits'' stay tuned....

Na kwa swagger kali you already know where to go eeeh... ''New arrivals'' ni kesho kutwa Wednesday, nani anapenda kupendeza???? Mie aisee napenda, so kama na wewe ni mwenzangu basi tuungane pamoja tukatupie vitu vikali na vya kijanja ndani ya Gf Boutique... ''save the day'' ni Jumatano!!! 




Say BIG NOOOOO to manyama uzembe sasa ni bongeee la team...


Nani anataka pia kujiunga??? What are you waiting darling???
Ebu nicheck ujipatie na wewe suluhisho la tumbo kupwelepweta... Nicheck ujitengenezee your own natural namba nane figure kwa kutoa mafuta yaliyozidi tumboni...



'''Na kwa wote ambao mpo kwenye dose hii please naombeni niwaweke kwenye one wassap group, nimeona niwaombe kwa hapa maana yaani kumjibu mtu mmoja mmoja ni shughuli pevuuuu, na most of the time maswali ni yale yale so nimefikiria nikaona maana lengo letu wote ni mojaaa (Kukata manyama uzembe) sasa sio mbaya tukiungana pamoja ili maswali yetu yanapojibiwa tuwe tumeelimika pamoja pia, na mie mtakuwa mnanipunguzia lawama za kuchelewa kuwajibu au kutowajibu kabisa... Maana nina msg nyiiiiiingiiiiiiii za maswali, so ukiona sijakujibu please usijisikie vibaya, ni muda tuu nakosa dears.. Pia in our group tutakuwa tuna'share experience pamoja, ni vipi dawa inakufanya hadi sasa.... Unajisikiaje tokea umeanza kuitumia?? And maendeleo yapoje???
As mnakumbuka, usipopungua hela inarudi eeeh.... Sasa si ndio tuungane pamoja ili tukianza kudai hela zetu tumtoe Gf roho.. hahahahahaaaaaa.... Mtapungua banaaa, trust me!!!
Na usipopungua mwenyewe kwa group hapo tutajua kabisaaa wewe ulikuwa hufati maelekezo ya dawa so hapo refund itakuwa batili... If you are interested please unitumie wassap ''BIG NO MANYAMA UZEMBE'' my namba 0753 891 997 ukituma tuu ivo, fastaaa nakuunganisha... please iyo wassap yako iwe na maneno hayo tuu ili iwe rahisi kwangu kujua ni zipi za kuunganishwa au ni zipi za story nyingine, sawa wapendwa wa mie... And kitu kingine ambacho nimesahau ni kwamba,hata kama ndio unataka kuanza kuitumia ila bado una wasiwasi, na wewe njoo kwenye wassap group letu ujionee na uwaulize wanaotumia wapo vipi ili uweze ku'make your decision... Au mnaionaje hii???""""


''''''''owky then'''''''

Kila mtu awe na a very productive week,

Nawapenda sana and God bless you all!!!

XOXO...

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT