PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, May 22, 2015

U'BOSS-LADY NI SHEEEEEDARRRR.....

Hey,
Jamani mmeona huko Instagram kilivyonukiaaa???!!! Hahahahaa. yaani leo nimechekaaaaa,lol
Eti kumbe mbwe-mbwe zooooteee zile za Hudda Monroe zilikuwa ni za uongo???? Uuuuuuwiiii, kweli usitamani maisha ya mtu kwa kumuona on social networks, hahahahahaaaa, uuuuuwiiiii....mambo za private parties za Nigeria, kiruuuu!!! Kumbe alikuwa anaturusha roho then anaiba picha za watu anazi'post, hahahaaaaaa.... Nimeamini kuwa Boss-chick unahitaji uwe m'bunifu, maana huu ubunifu wa Hudda aisee alitushika weeengiiii....
Keleuwiiii.... hahahahaaaa!!!

Na huo mguu, wallah mie niliamini ni Hudda mwenyewe... Hahahahaaaaa!!!

Zis iz Noti Raitiii (In Idrisa's voice)

Hudda aisee umeaibika,lol... Bora hata Zari yeye ni picha zake...hata kama anatudanganya kuwa yupo in her big nicestttt office haina shida saaana maana ni picha zake, na pia ni kweli yeye alishawahi kuwa ndani ya mu'office wa maana kama ule... Ila Hudda hataaa iyo private party haikuwepo walaaaaa, ulitunga tuu, sasa sijui unapata faida gani jamaniiii...
Hahahahaaaa, aibuuuuu!!!!

Ila Hudda mie namuaminia, atarudi tuu Insta na excusse yake... We stay tune.... Hahhahahahahaa!!!

Shikamoo wii, mie nakupenda ivoooo... hata siongei kitu mie kwa leo...Sitaki kabisaa kumuongezea stress mama kijacho wetu maana zile za issue ya London tuu mie mwenyewe zimenikwaza... Hahahaaaa...

#TuesdayVibes ya mwaka 2013 lakini...


XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT