PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Sunday, May 17, 2015

FEED-BACK PLZZZZZ.....

Hey dears,
Jamani wapendwa, juziiii nilivyowaambia about SLIMMING HERB ya BODY SLEEM, si niliomba ukianza kutumia basi tuambiane matokeo...
So far wameshachukua watu kibao, ila bado sijapata feed-back hata kwa mmoja wao, please tuambiane maendeleo.. 

Wale wa two days vipi mmeanza kwenda toilet mara ngapi kwa siku???!!! Hahahaaa... That's the progress... Msikate tamaa, lazima mafuta yoooteeee yatoke, tubaki wepesiiiii na figure zetu matata.. No more kuzeeshana, no more kuvaa ki-bibi, kwa sasa tunakaribia kuanza vaa crop-tops tuu ama neneeee??!!!

Kwa wote mlioanza kutumia hii dawa, Please please please.... Msisahau kunywa maji mengi, yaani ukijisikia tumbo namna gani vipi weee ongeza tuu maji and maji and majiiii... Mwishiwe uta'feel just fine!!! Yeah... Na kumbuka haina masharti ya msosi eeeh, wewe msosi wako kula tuu as kawaida ulivyokuwaga unakula...

Mie pia bado naendelea, ni mwendo ule-ule wa kutwa mara mbili... Sijapata tuu muda wa kupima uzito leo ila i realllly feeling big changes kwenye mwili wangu... Yaani hata nikivaa nguo najiona kweliiii nimevaa nguo, kiuno kiuno...
Alafu unajua ukipungua tumbo unaonekana una kiuno nyigu eeeh... 



Na matokeo ya kiuno nyigu ni kukupa  hagga(makalio) la haja... Hadi mie na uchagga wangu eti leo nimejiona ninalo hagga la hatareeeee.... Hahahaa!!!
Looking superb and i feel great...

Au ninyanyue hiyo top muone hagga live????? Semeni suuuu....


You know i always dressed by my own boutique eeeh... Yeah,kila kitu hapo is available, ukipenda anything there wee nicheck tuu!!!


Hii ni siku ya mwisho kuweka hili pozi aisee, nilikuwaga naliweka ili nijizibe tumbo, sasa now tumbo is kwishneyyyyy ila mazoea tuu ya pozi.....

Beautiful mama akee F-babies!!!

Mahari ya pili pleaseee... Uuuuuwiiii, hubby you are on trouble..nadai mahari nyingineee, ya sasa naitaka unikabidhi mie mwenyewe mkononi aiseee.. Hahhahaaaa

Thank you Gf, asante mae!! Haikaaa kabsaa ma'mshomi!!

Aaaawwww... Hadi natamani kujiteka....


Sasa nataka nione na mashavu wiki hii yatakuwaje, hahahaa... Eti kuna watu wameniambia hadi uso ushaanza kuonekana mrefu,lol... eti kweli???? Mbona mimi najiona bado round aiseee... mnanichora eeeh?????

Hair-do though....

Huyu ndio atanifanya nijione sina mashavu sasa, hahahaaaa...maana yake yametia fora...
She is my darling aunty, anaitwa Princess!!!

''our moment'' 

Ours is Agape love...


Love you all soooo very much,

XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT