PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, August 15, 2014

FRIDAY BOMBASTIC......

Hey darlings....
It's fridayyyyy... and am feeling alright.... Sifa na utukufu zimrudie aliye juu!!! 
My wapenzi pleaseeee msisahau kuniweka kwenye maombi yenu katika swala zima la diet, maana now naona kama inataka kunizoea??? Nawaza ni'change but Ivi what else should i do so that niendelee kupungua??? Nilijigundua juzi kuwa "am stuck" baada ya kupima kgs nikakuta bado zipo vile vile, jana ndio nime'chizii eti naambiwa kama vile katumbo kameanza anza... Kiruuuu!!! 
Wewe ulieniambia nimeanza kunenepa tena yaani hujui tuu ulivyonipa shock... Hahahaaa.. Thanx lakini kwa kuniambia mapema ili niongeze juhudi...
Back to my today's look..... 
Leo nimetokaje faster, nikaanza tu kupiga picha before sijaweka hata my things kwa gari.. lol!!!! Blame it on my camera'dada....
Mummylicous....
Chezeiyaa Mama La Mama wewee... Utaacha kulipiwa rent... Hahahaa!!!
I Am My Own Boss....
Aaaaw.....
Nawa'love love wote...
XOXO!!!

2 comments:

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT