PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, August 15, 2014

NO HARD FEELINGS.....

Darlings.....
One thing leo ngoja niwaambieni ukweli... Mie ninachokiandika hapa haimaanishi nafatilia maisha ya mtu, (ili nipate faida gani sasa???) Dears, am a blogger na hapa mie nipo tuu ili nikufikishie ujumbe kutoka kwa haoooooo mnaofahamiana... Upo apo??? 
Hiviiii, kama kweliiii limekugusa wewe hushangai mie nimelijuaje?? and we've never came across anything mutual, sasa jiulize kwanza mie nimejuaje then ukipata jibu ndio uje u'deal with me direct.. Hata ukija na huyo shost akoo,akusindikize tuu....
Na kama ulikua hujui basi ndio hivyooo jua kuwa i am blogging here, sawa eeeh???!!! And this is my blog... Naweza andika chochote ninachojisikia kuandika so my dear ukiona nakuchoma basi na wewe fungua blog yako uandike....
Tena my wapenzi, hata msisite kunitumia ma'story... Hahahaaa.... mnitumieeee, siwezi disclose chanzo chochote cha story....  
Kwanza nakuoneaga hurumaaa na ukiona nime'post kinachokuhusu ujue ni kwa manufaa yako na wenzako wenye tabia kama zako.... Maana sio kila ninaloambiwa huwa na'post....vingine navipotezeaga tuu maana naona havina madhara kwa binadamu!!!
Alafuuuu... Kwani walazimishwa ku'Sign in kwa my blog???  Kiruuu!!
Polee mpenzi.. Ebu acha kujipa pressure, maana mie nitabaki kuwa Gf, tena ndio kwanzaaa nazidi kung'ara...nani anabisha apo??!! Hahahaa..
Na piaaaaaa utakaa sana kunirusha roho maana Sijamuona bado wa kunirusha roho mie, nahisi bado hajazaliwa.....

And when i say Nawa'love love wote...I mean it!!!
XOXO.... 

3 comments:

  1. Shenzy zao ao wakuwache my dada g

    ReplyDelete
  2. Shenzy zao ao wakuwache my dada g

    ReplyDelete
  3. wakukome mama ake fey,wanavyofanya uchafu wao wanataka tuwasifie mxxxxxiew!

    ReplyDelete

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT