PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, August 22, 2014

KAMA UNA SHUGHULI BASI HII NDIO HABARI YA MUJINI....

Mambo dears!!
Ebu leo na wewe try to think with me, yaani huko huko ulipo.. Uwe unawaza pamoja na mimi, ukiona hujanipata bado ebu try kumshirikisha na mwingine.. Maana mie nikiongea wanasema Oooh.. wewe mfanyabiashara mara wengine Oooh.. G unapenda sana pesa... Kiruuuu, sasa hayo yanakujaje kwa mfanoooo???? Hahahaaa
Shampen zipo Non-alcoholic na zenye pombe pia... Zipo za tshs. 8,000/= tshs. 10,000/= & tshs. 12,000/= per bottle

Issue ni hiviii, in mashughuli (harusi, kitchen party, bag party, ubatizo, kipaimara, birthday party, n.k) swala zima la vinywaji, mimi naona and nashauri pia ili shughuli yako iwe classic, stress free, bomba na isiwachoshe wanakamati wako, ni bora drinks ziwe zile za take away... Yaani kama Soda,Grandmalts, Bia za kopo, Juice, n.k 
Novida tshs. 9,500 kwa katon!
Sio kamati ya vinywaji ikishagawa vinywaji kwa waalikwa tuu wanaanza kuhaha kulinda chupa za watu, kuchunga waalikwa wengine wasiojielewa wasije kuiba drinks pamoja na chupa... 
Yaani hamjui tuu, mimi napenda hela sawa but apo nawasaidia ku'save cost zisizo na maana... Kwasababu kesho yake mnavyorudisha ma'kret ya watu mtalipia chupa zilizopotea, kuvunjika, n.k
Soda zote za coca tshs. 8,500/= kwa katon
Ndio maana mtu hadi unaogopa kupangiwa kamati ya drinks, mnasema anaringa kumbe walaaaa... Unakuta mtu hajitakii pressure zisizo na maana... Nije nimependeza zangu na nguo mpya alafu nianze na purukushani za kulinda chupa... Utanikosa aiseee!!!
Grandmalt za kopo tshs. 27,000/= kwa caton


Kwanini tusibadilike??? Every drink in shughuli iwe ya take away, yaani wewe ukishampa mualikwa kinywaji basi kazi kwisha...Aamue kunywa, kubeba, aitupe chini, wewe walaaa huna habariiii...busy kuserebuka na sherehe!!!! Sio wenzako wanacheza kwaito wewe unachunga chupa...Kiruuuuu!!!! Wala haihusu apo....
Grandmalt za plastic tshs.21,000/= kwa caton
Alafu wale msiojielewa mnasema napenda pesa mnajua wala siwashangai eeeh??!! Mimi Mchagga, mlitaka nipende nini sasa?? Kidding... 
Mnanikosea, maana mie nauza vyote, vya chupa na vya take away, so nakuaga tuu mstaarabu kuwapa ushauri... Walaaa siwalazimishi maana ukitaka za chupa ni sawaaaa... bora chupa zangu zoteee zirudi kama zilivyo... na ukitaka za plastic and kopo basi mie nakuona mjanja kinoumer...

Azam Juice za 1lt tshs.13,500/= kwa katon & za 1/2lt tshs. 15,500 kwa katon
Badilikeni... Msifanye shughuli zenu kwa mazoea, hizo zilikua za mwaka 47... enzi za bibi na babu akee F-Babies.... Tusiishi ki'analogy my wapenzi, lol!!!
Bia zote za kopo zipo kwa tshs. 42,200/= kwa caton
Soda zote za Pepsi kwa caton ni tshs. 8,000/=
 

Hope umemaliza kuwaza pamoja na mie, na majibu utakua umeyapata..  Sasa ebu tell me ukweli.... Kwa bei izo mie eti napenda hela tuu au nawajali pia wateja wangu?? Hahahaaaa... Natafuta pesa na natoa ushauri maana nawapenda nyie zaidi ninavyoipenda pesa...Trust me!!!
NB: Huo ni mtazamo wangu tuu... Wapendwa msijenge chuki!!!
 
When i say nawa'love love, I mean it!!!
XOXO!!!

2 comments:

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT