PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Sunday, January 18, 2015

I WRITE THIS POST WITH DEEP LOVE.... HAPPY BIRTHDAY MY EVE!!!

Hello dear ones!!!

Siku na tarehe kama ya leo miaka kadhaa iliyopita alizaliwa binti huyu mrembo... Wengi wenu mnamfahamu kwa sura tuu, ila mie namfahamu kwa sura, tabia, uwepo wake katika maisha yangu na mengine meeengiiii mno...

(I post this with deep love, hapa nipo kwenye utulivu wa roho na akili... Nimetulia natafakari uwepo na umuhimu wa Eve katika maisha yangu.. Nitaelezea machache tuu leo, maana nikielezea yote tutakesha alafu hii post itakuwa zaidi ya gazeti au novel kabisaaa)
 
Anaitwa Eve, binti niliyemuachia nyonyo... Mdogo wangu kipenzi and my fellow January-baby!!
My twin tuliyepishana miaka,hahahaaaa.. Eve ndiye msiri wangu mie na rafiki yangu wa shida na raha...
 
Ana roho nzuri zaidi ya uzuri wa sura yake.. Hajui kumuwekea mtu kinyongo and that's what makes her very special.. She is a free soul!

She is a friend you can count on anytime no matter what.. A shoulder to cry on and an exellent company in happy moments.
If I were to name her, ningemuita ''Malaika'' That would have been a suitable name for her, maana yeye ni malaika asiye na mabawa, akiwa na wewe una uhakika wa ulinzi, furaha, amani na  haruki kwenda popote akakuacha mpweke....
 
Natamani niufungue moyo wangu ili aone how much she means to me... Nikimwambia ''nampenda'' naona haitoshi... Nikisema ''happy birthday'' pia hiyo haifikii vile namaanisha... Niseme neno gani lipya Eve ili ujue wewe ni zaidi ya ndugu, ni zaidi ya rafiki, ni zaidi ya pumzi na uhai wangu kabisaaaaaa
 
Bado nawaza cha kukuambia mdogo wangu... Natamani nikuambie only one world ambalo hujawahi ambiwaga na anyone ili ujione how special you are to me... I still search for a proper world darling..... What could be a right world to tell you leo??!!

Today is absolutely your day, natamani nikupe vyote ambavyo hujawahi kupewa maishani, natamani nizifanye dreams zako zote zitimie leo, natamani nifute all those bad memories ulizowahi pitia, natamani nikupe maisha ya maraha till forever ends....

Sasa how could I do that my Eve???!!!! How could I do atleast half of it all???!!! How could I even try to do so?????!!!!

One thing for sure ni kwamba, kwa nguvu na uwezo wangu siwezi kutimiza hata robo ya hayo yote ninayotamani kukufanyia leo.. Ila usiogope my Eve, maana ninaye mtetezi wangu ambaye yu hai, mtetezi wangu ni A Mirracle Working God, yeye aliyekuwepo, aliyepo na atakayekuwepo.. He is Alpha and Omega, Ni Mungu wa kutimiza ahadi... Namuomba yeye (Living God) aonae sirini, anayetambua haja za moyo wako, anayetuwazia mema wakati wote, anayejua leo na kesho yako, akatimize yale yooooteee ambayo I wish for you.. 

Please dear God, kama kuna atleast one, dear God I mean one and only one good thing I ever did and you surely need to reward me for it, please God naomba reward yangu iyo umpe Eve, mpe all the blessings you plan to give me..
Mungu, katika Malaki 3:10 (Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sintawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha,au la) Hiyo ndio the only way uliyoturuhusu kukujaribu kwayo.. Leo Mungu nakujaribu, I dare you my Lord, na ninapokujaribu naomba baraka zote ziwe juu ya Eve maana through yeye I've been and I'll continue be blessed more and more!!

Dear God, tena uendelee kum'bariki endlessly, mpe baraka zako in every way possible, mfungulie milango na madirisha ya mbinguni, ummulikie mwanga wako usiku na mchana, awe kwenye kivuli chako wakati wa kiangazi na masika, everything she touches should turn to gold... 

Umuongoze kwa kila atua ya miguu yake, utazame kuingia na kutoka kwake, uwe ngao yake shidani na umuepushe na mabalaa ya hii dunia....

Kwa Eve pasiwe na huzuni wala majuto, asiwe na simanzi wala hofu ya lolote.. Awe mwenye furaha, afya njema na utulivu wa moyo siku zote za maisha yake!!!

Baada ya hayo Mungu sasa ninakushukuru, nakushukuru maana naamini yote yameshatimia... Nakushukuru kwa kumpa Eve mwaka mwingine tena... I thank you most because you gonna keep your promisses!!! Thank you so much dear God.


This is a special birthday wishes from me to my lil'sister Eve!!!
Happy Birthday My Darling Eve....



Love you all to limits,
XOXO!!!

3 comments:

  1. Naanzaje sasa kunyamaza kulia na kufuta machozi after reading that novel?? Nikwambie kitu? U are the best sister in the entire world. I love u to the moon n back. ♥♥♥

    ReplyDelete
  2. Happy birthday eve

    ReplyDelete
  3. if u wr my sisy wld luv to c u in thc side of u eerrr day. G u r swt sisy. Hbd Eve

    ReplyDelete

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT