PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, January 16, 2015

SPECIAL TO VIBONGE WOTE WANAOJIELEWA....

Hellow darlings!!
How is your Friday??!!
Mine is super duper, tayari nipo kwa my office... Ila nina usingizi hatareeee..
Cant even complain maana hii Telemundo mie inaniharibu, yaani silali nakesha kuangalia movies,duh!!! Next month pleaseeee hubby dont pay for dstv ata niwe nalala mie... (Didnt mean it) Hahahahaaa...

This post is special to vibonge wote wanaojielewa... Cuddosss #TeamVibonge baibbbbyyy!!!
 
Hizo picha zote was my yesterday look....
Pleaseeee before you start judging my body ngoja nianze kujitetea.. On my birthday I told you Eliza got a baby'girl eeh?? Sasa these few days nilikuwa namlea mzazi so was realy hard to deal with my diet wakati nipo arround ma'msosi all the time...
Can you imagne mtori nyama kuku??!! Hahahaaa, couldn't resist that aisee... Results ni kwamba I gain 2 more kgs...

And am not very sad, ila tuu I need back my body!!! 

My hubby ananionea huruma ninavyotamani kula while nataka kukonda, akanishauri nianze gym, uuuuwiiii sipendi kufanya mazoezi, I better starve myself hadi kieleweke ila sio kuruka ruka na kukimbia kimbia, uuuuwiiii..... Ila msosi is tooo tempting yaani hadi sijielewi ninavyotamani kula kula.... 
Kwanini huu mwili usiende to somebody who needs it??? Unakuja tuu kwangu wakati mie nataka niwe ki'portable... It's not fair!!!

 Hadi ka'kitambi kameanza kwa mbaliiii, uuuuwiiiii!!!!

 
Nimekuwa Ki'bonge nyanya!! Hahahaa, sasa ivi naomba Mungu tuu niweze kuyashinda majaribu ya kula nyama nyama na mtori hadi niwe 69kgs sasa, hahahaaa!!
 

Me and shosti wangu wa ukweli...

 Ila hata kama Kibonge, I still look so good eeeh??!!

 And sexy too...
Bantu figure = Manyama uzembe!!

 Bora nijizodoe tuu mwenyewe kabla wale wenye vimidomo kama kunguru hamjanianza... Yes, I am Kibonge, so what???!!!

Bora mie hata nikiwa Kibonge still najielewa what to put on nionekane bomba!! 
Kuliko wewe kibonge usiyejielewa... Si bora tuu ukonde sasa!!

Nuna alafu ukimaliza kununa anza na mimi diet ili twende sambamba... Ama neneee???!!!

 

Ni'check here, without kikoti...

 Much better... Ila kitambi sasa, na bumps kidogo mgongoni Uuuuuwiiiiiiiiii.......
With my girl, my Faith...
Deka mwaya, nani kama mama???!!!

Us...

Nawapenda woteee... Uwe Kibonge, Kiportable, Undefined and whatever, my love for you all is sooo pure and true!!!

XOXO!!!

3 comments:

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT