PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, March 31, 2015

www.gf-collectionstz.blogspot.com ONE YEAR ANIVESARY!!

Hi everybody...
Do you guys believe in dreams comes to reality???
Mie naamini 100%... Ukiwa na nia and ukijituma na kumtegemea Mungu kila kitu kinawezekana...




Kiukweli kwa miaka hii 29 niliyonayo sasa, most of my dreams zimeshatokea, am thankful and great-full... 
I am still young so bado naendelea to dream, hahahaha... na pia bado dreams nyingine zipo njiani soon and very soon zitakuwa reality in the name of my living God... (Can you say AMEN)

Kwa wale waliopo karibu na mimi watakuwa wanajua kuwa mie ni kati ya watu ambao wanaweza wakakosa usingizi kabisaaaaa when wanapotaka kitu then kishindikane.. Duuuh...naweza nikakesha for days yaani hadi ni'make sure nimetimiza kile nikitakacho... Naamini I was born a winner so story za kushindwa kwangu aisee sitakagi kabisaaa kuzisikia...
Even my hubby ananiambiaga nina winning spirit and he loves me more maana sikubaligi kushindwa wala sikati tamaa easily when it comes to something I really want, hahahahaaaaa...
So eti nikipotezea kitu anasema sio kwamba nimeshindwa ni kwamba sikitaki... I think he is very right, yaani nikitaka kitu nipo ready to work on it till I sweat blood hadi nihakikishe nimekipata ndio ni'relax....
 

   For years nilikuwa natamani sana niwe na blog yangu binafsi, ya mambo yangu niyapendayo, about my life and issues za kijamii in general, about fashions and ma'story mengine... Then, tarehe na mwezi kama wa leo mwaka 2014 namshukuru Mungu maana dream yangu ilikuwa reality....
Na leo am so proud of myself maana nimetimiza one year of blogging and sijawahi regret wala kuwa bored with it... Am so very happy!!!!

Asanteni wapendwa wangu kwa kuwa na mie kwa mwaka mzima sasa na bado mnaendelea kuwepo, hadi leo tuna viewers zaidi ya 20,000 (elfu ishirini) kutoka duniani kote..
(Natumia camera yenye auto-flash kupiga simu my laptop, so huo mwanga ni from camera,poleni... Ila viewers wanaonekana hapo ni 20325 hadi now tar.31.03.2015 saa tatu asubuhi)
 Kwa page viewers hata wewe msomaji ukitumia laptop pia unaweza kuwaona... 
 

And in blog's settings ni mimi owner wa blog ndie naweza kuona my viewers wanasoma blog yangu from where, kwa leo Tanzania na United State ndio wanaongoza kwa kunisoma... Ila there are more countries pia zinanisoma as ivo in picha...
 
Sorry kwa huo mwanga hapo, ni kwa vile nimepiga picha laptop and my camera ina auto-flash
nikitaka pia kuangalia kwa Tanzania tuu naweza kuona ni mikoa gani inanisoma zaidi, pia nikichagua kuangalia mkoa mmoja tuu like Iringa,nitaona ni maeneo gani wananisoma zaidi like Mafinga, Iringa mjini, n.k

So,hapo nimeangalia kwa dunia nzima ni nchi ngapi zinanisoma and that's a results...
Pia nikitaka kuona ni post gani imesomwa leo mara nyingi naweza kuona kama ivo..

Sina hata maneno ya kuwaeleza mjue ni jinsi gani ninavyowapenda, yaani nawapenda hadi sijielewi..
 
Nawashukuru sana sana sana kwa full support mliyokuwa mnanipa in my businesses and in every other mapurukushani ya maisha... 
You guys never leave me hata one day yaani, hadi nikiwa sija'blog siku chache tuu nawa'miss like hatareee.. !!!


Nawapenda, nawapenda na nawapenda sana zaidi ya sana!!!
Happy One Year Anniversary Gf-Collections...

Friday, March 27, 2015

MUKE YA FRED IN A HOT PINK..

Dolls...
Sometimes in fashion world inatakiwa uwe unajitoa tuu ufahamu and you try even the scary combination...


One of the scary comb jamani ni hii ya leo, yaani nahisi leo hata vioo sishushi wala sizururi maana naweza wapofua macho.. hahaaaa!!! We are planning to meet leo pleaseeeee uje umevaa sun'glasses!!
Maana nawaka kama jua!!





Na ndio sina habareeee muke ya Fred, nipo na ma'full confidence yoteee, najitamani hadi kujiteka maana sio kupendeza hukuuuu, ni zaidi ya kupendeza aisee!!!
 
Wale wa kununa leo mtasonyajeee sasa... Hahahahaaa, mie ndio kwanzaaaaa nawaka waka, ukizingatia diet ndio imeanza nipunguza punguza mashavu kidogo, uuuwiiii...ninaoje raha sasa!!!
 
Maana last two days my hubby said hata nikicheka mashavu yanaziba macho, hahahahahaaaaaaaaaaa.... Ila Fred wewe ndio wa kwanza kuniletea chocklates, vitumbua mayai na zile cakes hadi nazikataa unanibembeleza nionje kidunchu.. (Unajua kabisa nikionja ndio namaliza zote)
And you are the first kunisisitiza niende gym, seriously?????!!!! Sasa mbona kama wanichanganyaaaa jameni....

Ila nitapungua tuu maana nia ninayo na uwezo ninao, tatizo tuu ni how to maintain huko kupungua ndio sheeeedarrrr

 
 Nice week end everybody...
Nawapenda!!
XOXO..

MUKE WA MGANDA NI SHEEEEDAR!!!

Hellow darling ones,
Thanx wote mnaoendelea kuni'tag huko Instagram, mmmmh... maana mambo ni matamujeee, hahahaaa!!!
Chaggabarbie kacharukajee sasa, uuuuwiiii... ndio hadi kaweka zile picha za sex za wifi..jamaniiiiiiii....
Mmmmmh, zile siwezi ziweka hapa aiseee, maana wifi nae hata hakukumbuka to shave first, keleuwiiii...

Haya yote lakini yalianzaje???? Kama vile dada wa hiari wa Wema alisemaga Ivan ndio anam'date Wema eeeh???!! Hahahahaaaaa... Sitaki kusutwa mie na muke ya muzungu.. Ilaaaaaa, .....????!!!!

According to Chaggabarbie chanzo kilikuwa ni hii post ya wifi... 

Kwa hayo maelezo tuu hapo mtu mwenye akili tayari unaelewa kuwa kitendo cha Chaggabarbie kuwa na Ivan kinampa tabu sana wifi Zari, maana kama hakimnyimi raha kwanini anaendelea kumfatilia??? 
Labda kweli wifi wala hataki kurudiana na Ivan, ila tuu kwa vile kamuona Ivan sasa yupo na mutoto mrembo tena mwenye mashauzi kibaooo, akaona mmmh,hapa hata nikiomba tuu hela nitatangazwajeeee.... May be ndio sababu akawa hampendi Chaggabarbie na akaona bora amchimbe biti mapeeemaaa ili awe anamuogopa..
 Bad thing sasa akakutana na kichwa cha Kichagga, we fear no body, only Ruwa Mangi hahahahaaaa....
Toto la kichagga halijamuogopa hata wifi wa taifa, mbutaaaa!!!
Akampa vidonge vyakeee, then sasa ameamua awe busy na mambo yake, safiiii sana Chaggabarbie, akuanzae mmalize tena mmalize vizuri kabsaaa...

 Mwishoni sasa leo pia Chaggabarbie kaamua aishie hapo



Ila wifi wa taifa(Zari) nae naona hayupo tayari kuyamalizia hapa eeeh... Hahahaaaa!!! Sasa hapa kamaanisha nini tena??? Au ndio anataka na Ivan nae awe anamsaidia Chaggabarbie kutukana???
Kiruuuu, hapa ndio nimemuona wifi nae hana akili kabisaaaaaa... Hadi hapo hajaona tuu that's a mutual thing??? Maana vile Chaggabarbie anavyomtukana na anam'tag Ivan ina maana huyo Ivan nae kakubaliana na hayo matusi, tena pengine Ivan ndio anamsaidiaga Chaggabarbie facts zaidi za kumtukana Zari... Maana ungekuta Ivan hayupo upande wa Chaggabarbie,anavyotagiwa upuuzi angekataa au ange'comment kuwa hataki kuhusishwa... Kukaa kimya tuu kwa Ivan ina maana yupo side ya Chaggabarbie, yule ni mwanaume so hawezi anza tuu kuandika matusi ila anayasoma and yupo sawa...hahaaaa, that's a mutual thing my dear wiiii...
(Example: Eti mimi nikuzodoe hapa kwa blog alafu ujishaue huko eti utaenda muambia Fred kuwa nakuzodoa,hahahaaaa... My dear, hadi nakuzodoa hapa ujue Fred tayari anayajua yooooote, and sometimes pia ndie ananishauri niwachimbe biti zaidi, hahahaaaa...hadi niwatishie kuweka picha zenu hapa, hahaaaaaaa...tena vile tunazo zile picha matataaaa,uuuuuwiiii... endelea uone nitavyokuaibisha wewe na familia yako yote hadi mseme poo)

So wifi calm down tuu ulee mimba yako usije jifungua pre-mature bureeeee maana Ivan na Chaggabarbie lao moja, hata kama Ivan hakuandiki wala kukutukana iyo ni kwasababu yeye ni mwanaume anayejielewa, ila kum'support Chaggabarbie ni 100% anampa support ndio maana she is free kum'tag anavyokutukana... Huo ndio ukweli, upende usipende ila habari ndio hiyo...


Mahaba mazito kwenu wote....
XOXO!!!

Thursday, March 26, 2015

ZARI Vs CHAGGABARBIE....

Wapendwa..
Hivi nyie hili saga la huko Instagram mmelifatilia???  Heeeee... mie nilikuwa sijalisoma fresh till leo sasa ''wifi wa taifa'' alivyocharuka...
Kumbe Chaggabarbie sasa ndio official girlfriend wa mzee mzima wa Rich-gang Ivan Don...
Sasa Zari sijui kinamuuma nini jameni x-hubby wake akiwa na mtu mwingine wakati yeye tayari ni mama kijacho wa kaka (Diamond)????
Hahahaaaaaa... wifi banaaa...ni sheeedarrr!!! Si uwe kama mutoto ya Sepetunga jameniiii... yeye anazibaga masikio na kufumba macho tuu kwa vitu vidogo vidogo kama hivi....
Ila wifi hata sikulaumu sana.. maana nahisi wewe ni kama mimi aiseee, hahahahaaa... huwezi acha kitu kipite ivi ivi tuu hujakijibu, hahahaaaaaa....
Ila bora mie sijawahi kuwa na x-hubby so sijui why you react like that aiseee...kwanini unaendelea kufatiliana na wanawake wa x wako... Heee... nimechekaje sasa leo na hayo majibu yako!! 
 
Hahahaaa, kiruuuu!!!! so chaggabarbie ndio kawa maid/nanny/cleaner wa wanao???? Hahahahaaaa, weeee usituchore bana wiii, sie sio watoto wadogo bana... Kubali tuu matokeo na ukae kimyaaaa... Maana hata King Lawrence ulisemaga ni dereva, mmmhhh!!!




Go go goo chaggababie..go girl, kula maisha Mchagga mwenzangu, na uendelee tuu kutupa raha sie wapenda ubuyu...




 Kwa mastory zaidi wa'follow huko Instagram...

Chaggababie

Zari


And dont forget to tag me!!!
  
XOXO!!!

THROW BACK THURSDAY... #TBT

Sweethearts,
Wish you all a very remember-able Thursday ili next thursday kila mtu awe na throw back yake amazing... ama neneeee?! (in my voice)

Am on diet so sitaki kukumbushwa kuwa nimekuwa kibonge, maana kuna watu huku wana midomo mirefuuuuu...
Najijua eeeh... So calm down and wait you see me next time nitavyokuwa ki'portable.. Hahahahahaaa #Team kujipa moyo#





XOXO..

PRINTED LEGGINGS AVAILABLE....

Dolls,
Hope mpo fresh as ever...

Good news for those who are in love with printed leggings, maana sasa they are available... Toa oder yako kwa namba hii 0753 891 997


Gf in a printed leggings At Gf Min Depot

Beyonce, Nick Minaj & Rihannah rock in a printed leggings!!



Unasubiria nini my dear, just ring the numbers na wewe utokelezeee na printed legging yako...
 Zipo in different prints na rangi tofauti tofauti pia.. Ni free size, so hadi sie vibinge tuna size!! Hahahaaa..

Wifi wa taifa nae yupoje juu na printed leggings yake... hahahaaa, hadi rangi iyo ya Zari pia is available!!


Nawapenda sana sana na sanaaa!!!

XOXO..

Wednesday, March 25, 2015

PIC OF THE DAY...

Dont hate, Get inspired.....


It doesnt matter how slowly I go as long as I do not stop...


Life isn't about finding yourself, life is about creating yourself

I still count my blessings,

XOXO!!

TATIZO SIO KUFANYA DIET...

Hey wapendwa wa mie..
Hope you are all fine!
Jamani leo naombeni mnisaidie kitu kimoja... Yaani kati ya vitu vinavyoweza kuninyima raha ni kukosa size ya nguo niliyoipenda kwa kigezo tuu eti hazijatoka size kubwa.. Uuuuuwiii, nasikiaga kuchizi kabisa yaani, nakuwa mnyonge hadi sijielewi!!
Na hiyo ndio sababu kubwa ya mimi kuanza diet... 

 
Ingawaje kufanya diet ni ngumu ila mie kwa upande wangu nilishaanza kuzoea kabisaaa, ila sasa tatizo sio kufanya diet, tatizo ni how to maintain it.. Ivi ni lazima diet iwe ndio maisha yako yote????
 

Mbona mie nikifanya tuu diet serious siku saba naona changes kabisaaaa ila nikipumzika only two days narudia kuwa kibonge... Ni nini solution ya hii issue jamani???
 

Are diets meant to be for a life-time au??? Mbona tutashindwa jamani kuwa na bikin-bodies kwa ustaarabu.. Kiruuu!!
Yaani siku tatu tuu za kula kula nimesha'gain 3more kgs,yeuwiiiiii....
Ivi diet inavyokuwaga ngumu vileeee alafu napunguzaga 1kg kwa siku saba, inakuwaje naongezeka 3kgs tena ghafla ivi jamaniiii....



Dah.. nasubiria ushauri pleaseeee......

XOXO!!

Tuesday, March 24, 2015

LOVE IS BEAUTIFUL... ''OUR WEDDING ANNIVERSARY 2015''

Hey dears,
Me and my family wote wazima, hope you are all fine too..

It's another beautiful day, nipo busy hatari ila leo nimeona before anything ngoja nitumie hata 30minutes to be here maana I realy miss blogging and most of all I miss you guys sana..

Aya let's not waste time.. Ngoja niwape uhondo kidogooo on how our wedding anniversary mwaka huu ilivyokuwa.
For those who didnt knew, ni kwamba juzi tarehe 20th March tulikuwa tunatimiza miaka mingiii ya ndoa yetu (Mimi na Fred)
It was friday, so tuliamua kuadhimisha wedding anniversary yetu kwa kushinda pamoja for 72hours.. so tulianzia Friday, Saturday na tukamalizia Sunday... 

Guys, it was blast yaani... Imagne all those three days tumeongozana kama kumbikumbi, hahahaaaa...kila alipo Fred na G yupo, kila nifanyalo mimi na Fred ananisaidia.. Yaani I realy enjoy it sana... Nikatamani ata ingeendelea hadi na leo pia, hahahaaa!!

Kitu cha ajabu nilicho'realize ni kwamba aisee tukiwa pamoja(me&hubby) tunapendaje kula, hahahaaa...
Nilikuwa naangalia pictures za hizi siku tatu kwa camera nikagundua picha nyingi tupo tunakula, hahahahahaaa....

This was friday at Gf Min Depot, me and hubby ''eating'' hahahaa... 

 Saturday at Shooters club, hii ilikuwa dinner party two..hahahaaa


(Fred you are not a good campan aiseee, umeniharibia diet yangu ni ajeeee????!!!!) 

Mke halali wa Fred...

Wapenzi picha zipo nyingi sana za matukio mbalimbali ya tokea Friday hadi Sunday..wish to upload all of them here ila i only got 30minutes with you guys leo, so nita'upload chache then nyingine siku nyingine.. maana hapa hadi nitulie nizipangilie ziende step by step naona nitakesha... Ama neneee???!!!


Sunday at home sweet home..

Love is beautiful...





Aaaaw...

I adore him...

My better-half!!



#Back to diet tokea jana#


xoxo...

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT