PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Monday, June 30, 2014

HAYATUHUSU LAKINI.....


 
 Siku chache kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuanza, ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne yavunjika

Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe, Ezden Jumanne anayepiga mzigo TV1 wakati wa harusi yao.
Harusi day!!!!
Dida ebu kumbuka enzi za mahaba niue,niteke kama boko haram!!!
Mnapendezeana balaa.. Hope mkituliza akili zetu mtarudiana....
Tukio la kuvunjika kwa ndoa hiyo iliyofungwa mwaka jana (siku tano kabla ya Mwezi wa Ramadhani kuanza) likikamilika kwa talaka, Dida atakuwa ametimiza idadi ya ndoa tatu kuvunjika.
Awali aliolewa na Mohamed Mchopanga ‘Mchops’ kisha Gervas Mbwiga ‘G’ na wote walimwagana kwa talaka.
NB:hutaki kupewa pole,basi hongera!!!ila i am very sad, na sijaipenda kabisa iyo

BLUE MONDAY...

Hi lovies!!!
wake up late kidogo, and leo ofisini kwetu nina serious duty plus mwisho wa mwezi...Uuuuwiiii mimi...
For those ambao hamjui, mimi ni muajiriwa pia,lol  i am kila kitu kinachohusiana na kushika manoti..Am accountant by professional, enterprenue by birth,(hahahaa..chezea mchaga wewee)
Aya sasa let me tell u a secrete "good thing about taking classic drinks kwenye mitoko ni kwamba, in the morning hauwi mchovu" Imagn i slept for two hours only, still i managed to dress up and pose for photo before job and by saa mbili i was in the office... Thanx to Gf Min Depot kwa drinks zenye akili.. 
(Thanx Miami Pub kwa kuniungisha pia)
My today's look.....#BlueMonday#BlueRide# 

HandBag available at Gf Boutique!!!

I wish nipate na dawa ya kupaka mashavu nayo yapungue faster faster lol ..hahahahaa!!!
BuiltOnSelfSuccsses!!
Me, Breaking All The Rules!!!
Hard Work Pay...

Off To Retco!! xoxo..



Sunday, June 29, 2014

GOOD NEWS...

HABARI NJEMA KWA CUSTOMERS WA GF MIN-DEPOT
Kutokana na serikali kupandisha kodi ya drinks kama; pombe,soda n.k basi tunategemea na bei za bidhaa izo pia zitapanda kidogo from tarehe 01/07/2014.... But Gf Min-Depot itaendelea na bei zile zile la zamani hadi tar 01/08/014...hii ni kutokana na kuwajali wateja wetu, tumeamua kuwapa Offer iyo ili mji'adjust na ongezeko la bei for a whole month of July...Tuna stock kubwa na ya kuwatosha kabisa kwa mwezi mzima mkiwa mnajiandaa na ongezeko la bei, tunawashauri mfanye savings za kutosha kwa mwezi wa July so that, baada ya Offer kuisha tuendelee kushirikiana katika kipindi kijacho cha bei mpya. Tunawapenda, Tunawajali & Tunawathamini!
Kutoa Order Call 0753 891 997
  




Gf Min-Depot Price list & Transportation..
Gf Min-Depot Display Room!!
Gf Min-Depot Display Room...


FAITH & ME.....

Darlings!!!
Me and Faith had a moment to pose for pics before Eve arrived... Dont know why these pics pia never made up to blog sooner.... But hakijaharibika kitu, check them out

Mie na Shoga'angu wa ukweli!!!!

My true girl friend!!!
My Faith & My everything!!!
                        
We Are All Dressed By Gf Boutique!!!


Nice Sunday To You All!!! xoxo



LONG DRESSES MODE ''ACTIVATED''

Habari za jumapili wapendwa!!!
Leo nimepata tuu hamu ya ku'post those forgoten pics of me in a long dress look...(was my last week look) Leo sikupata time for picha maana nipoje busy sasa na my Eve, wale wa kula bata hadi kuku aone wivu basi tukutane maeneo ya Miamiiiiiiii.....
All Dresses Are Available At Gf Boutique....
Me In Long Dresses...

Asante my mama for that kikapu, nimekitendea haki for real...Nimekibeba none stop for two weeks!! dah,sasa kipumzikeee
Long dress, Simple shoes, Ear rings, Saa, Bangle, All Available @Gf Boutique!
                                 Dressed by Gf Boutique!!!

So serious.....

So holly....


Ready to hit da road.... xoxo!!





 

Saturday, June 28, 2014

THANK YOU JESUS FOR A NEW BABY BOY IN THE FAMILY

Yaani sisi kwetu tupo wengi, our parents are so blessed aiseeee!!! And girls in the age between 24yrs - 32yrs sasa ndio noumer maana tupo weeeeeengi ni ajeee... hahahahaaa!!!! And take it or leave it, kwetu sie wote warembo!!!!! (nipo serious apo)
Good news ni ivii, one of my dada leo katuongezea idadi ya boys in the family, yes ni baby boy!!!! His name must be BARAKA, maana he is a blessing kid.. Congrats my dada Ruth & my inlaw....
Welcome to the family baby, u are such a preety boy... Aaaaw... mchaga wetu mzurijeeeeee sasa!!!
Our New Baby Boy Baraka!!! We All Love You...

EVE IS HERE!!!!

My baby sisy is here, am sooooo happy today, its official visits but we are making the most of it... maana anafanya shughuli zake za kikazi faster ili tupate 'me&her time"... Cant wait kumzururisha, mji mzima tutaumaliza in a day, fancy places zote zitatuhusu,Olah lah!!!  nina furaha sana leo and extremely happy maana leo pia, our big sisy RUTH ametuletea a baby boy.... i'll post his pics soon!!!   
I'm so happy!!!!
     
Call 0753 891 997 to Order mikufu bomba like mine!!!

Welcome to  Iringa sweetie!!!


"Me&Eve Quality time"


Us Against da World....LOVE LOVE

MUNGU MKUBWA....


Alichokiunganisha Mungu, mwanadamu hawezi kukitenganisha....

Kwa habari zaidi in Risasi jumamosi ya leo
 

FAITH IS HAVING HER OWN QUALITY TIME...

Hi darlings!!!
Faith amewamiss sana, am sure mmem'miss pia fashionista wetu... we should plan kwenda salun soon... Keleuwiii... 
#Thumb down for Salun things#
My true love!!!  Usitake nikuambie how i begged her to put down that ka'fruit ili nimpige picha...it took me an hour n still akagoma....



And by facial expresion tuu inaonekana hako ka'fruit ni kachachuuu...lol jamani totoo!!! !bye!!!!!!!!!!!bye!!!!!!!bye!!!!!!!!!!!!!!bye!!




Friday, June 27, 2014

FLORA MBASHA TENAAAAA...

Yaani am speechless, maana mimi now hata i dont know what to think about Mbasha'z tena...

God have mercy!!!

NIMEIPENDA HII....


Chibu Dangote wa Tz a.k.a Diamond  Kumtoa Wema Kimataifa!
 

“Hapa juzi kati kulikuwa na mazungumzo, kuna mtu mmoja anaitwa Frank yupo huko Ghana, ni mtu mkubwa sana, na yeye ndio anaandaaga zile tuzo za Ghana, kwasababu kuna movie anataka kuifanya baby. Hiyo movie wajue kabisa eeh Sepetunga kaachia mashine mpya. So jamaa yule ana link na watu wengi nikajaribu kuzungumza kuwapata actors na actress ambao anaweza kushirikiana nao kwa sababu namna pekee ya kuweza kutanua market yako katika kazi yoyote ni kushirikiana na mtu ambae yupo katika nchi nyingine ili kuweza wewe kupenyeza bidhaa yako wewe na yeye apenyeze bidhaa yake kwako,” alisema Diamond.
 
Bado Diamond hajamaliza, akaendelea....
“Kama akina Van Vicker sijui akina nani, nimefanya mazungumzo nao kuangalia namna gani wanaweza kufanya movie na movie ifanyike Tanzania au ifanyike Nigeria au ifanyike Ghana. Ghana, Nigeria ni nchi ambazo zina nguvu kwenye soko la movie Afrika. Wakati nazungumza nao pia uzuri ilikuwa ni rahisi hivi baby kamlink sehemu yoyote ni rahisi sana kwa sababu kwanza ana content nyingi za movie zake. CV zake ni rahisi kumwambia mtu hiki na hiki, kwahiyo mtu akiona anashtuka, yaani mtu anakuwa excited kufanya naye kitu. So na wao pia kuna movie wanataka ashiriki uzuri pia wakasifika Kiingereza chake ni rahisi zaidi kufanya naye kazi. Kwahiyo mwenyezi Mungu akisaidia kuna mipango itakaa sawa basi mwaka huu utakuwa ni mwaka wake mzuri na zaidi nafikiri hata kabla hata mwaka haujaisha hii project itakuwa imekamilika labda inaweza kuwa out sijui yeye ndiyo anajua zaidi lakini. Wajibu wangu ni kutekeleza kuona kwamba baby amefanya movie na fulani na fulani kutoka nchi fulani na movie imekuwa fulani na kulingana alivyokuwa mwanzo na sasa hivi aonekane ame advance kutoka pale alipokuwa mwanzo.”


Na tulisha'waacha mlaleeeeee!!!!

                              
All the best Mr & Mrs Tanzania.... Kisses back!!!!

THROW BACK FRIDAY......

Mambo my friends!
hope you are all doing great, nimelazimika ku'post hii picha ya few months ago in different pose (guess hii was early February 2014 before sijaanza diet) maana i saw your comments eti pale nimependeza because it was a dress.... No my dear, sio kwa vile nimevaa dress bali ni how i dressed up my body.... how i mixed the colours and nilivaa pia perfect accessories to spice up my look.. make-up and natural beauty pia zimechangia nipendeze.. Mweeeh!!!! (Hahahahaaa....)
Its true ukiwa mnene sana unakua na limits of putting on some fashions, ila as i told you on my previous posts; Rule #1 of fashion is To break all the rules!!
Apo nikiwa Kibonge and nimevaa tait & top...

Lovely mama of two!!!

Thursday, June 26, 2014

FASHION WILL NEVER LET YOU DOWN....

Mambo my dears!
Leo nawalete flash back...#tbt#
My pictures, it was mid January 2014 when i was 90+kgs... Yes darlings, i was 90+ and now am 86kgs, 4kgs down... got other 4kgs to loose till end of Sept, then other 4kgs by Dec... By the end of this year i must be in 70's kgs.. Shout AMEN for that!!!                   (nipo serious apo)
All in all, kitu kizuri about fashion yaani ata uwe kibonge, ki'portable, old, young, mweusi, mweupe, mfupi ama mrefu, no matter how you are, ukijikubali and kujielewa and uwe unajua what to put on that body of yours bbbbbaaaaasssssiiiiiii......lazima utoke bomba!!!!
Check me apo nikiwa kibonge sana, still nilikua na'rock!!!
Fatty & Sexy!!

Yes.... That was mrembo mie five months ago.... Jikubali, Jielewe na Ujipende...Fashion will never let you down!!! xoxo

Wednesday, June 25, 2014

PICK OF THE DAY....


Multi Choice wameachia video ya mradi wa Africa Rising... I love everything about this song... ni bonge la collaboration of Diamond, Davido, Mi Casa, Tiwa Savage, Lola Rae & Sarkodie
please;Check it out....


Apo mie nipo soo proud of Diamond....beb akee sepetunga!!!
Big up!

ME IN POLKA DOTS SKIRT....

Habari za leo wapendwa!
Yeah,leo bado nipo na Polka dots and am thinking loud too.... I have Polka dots skirt (check pics), Polka dots top dress (check my previous posts  niliiva with white tait) Mmmmmh...yeah, i have polka dots wallet,nitaipost soon..(dah!!sijaibebaga long time ile wallet)...pia i have Polka dots cap, that kofia ipo in previous posts too... i have polka dots bra...(Classic polka dots Bra availabe @GF BOUTIQUE
Those are few of my Polka dots 'makila kitu' which i have, what do you have darlings??
NB; Siwaringishii,Ni kweli ninavyo and am telling u to motivate u too uwe CC (ClassicChick) na ukisikia wivu then ukaja fastaaaaaa Gf Boutique kupata Polka dot yako, basi wewe mjanjaaa!!!!
Ila ukisikia wivu then ukajiongeleshaaa...aaaah,pole mwayegoo!!! What doesnt kill me makes me stronger!!! 


Mama la Mama...Gf herself!!!
Kakoti(denim), Polka dots skirt, Simple slippers are all available at GF BOUTIQUE
Close your eyes, let's pray together lovies.... Oh,dear God, please help me to loose other 4kgs more and nipe uwezo wa ku'maintain this beautiful body of mine!!!! Amen...
In deep love with my body..... Soo much African.... Its healthy too!!! 
Rule number One in Fashion...1.Break all rules!!!
28 going to 29... Forever young!
Nawa'love love love woteeeee!!! xoxo






NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT