PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, June 30, 2015

CHEKECHA CHEKETUA BY KING KIBA...

Enjoy...
TeamKiba miaka elfuuuuuu!!!!


King Kiba...



Yaani kwa hii video sasa huyu ndio Kiba yule wa levels za R.Kelly...Yaani kaleta kitu kipya, sio kile ambacho kila mtu alikuwa anafikiria hiyo cheketua itakavyokuwa... Good video Kiba... Yaani wewe ndio King of bongo-flavor... 
Sina ndimu leo, hahahahaaa...kwaheriniiii!!!

Tujikumbushe kidogo na hii then wote kwa pamoja tuseme SHIKAMOOO KING KIBA...

ey world stand up
Stretch out your hands
one8 represent the dream
Africa
feel free
One8 let's get them

I’m reaching out to the poor people
The sick and the alone
I’m reaching out to the fortunate who can build their own homes
I’m reaching out to the ones who seems to have lost their way
And I’m calling on all the ones who can show them a brighter day
I believe if you believe then we can achieve anything
So lift your voice and give it everything
Now let you’re your heart sing

Chorus:
Africa to America
Everywhere common and spread some love
We got faith and a little hope
I believe that we can heal the globe
It’s time to open our eyes and see
That all we need is you and me
Unity’s like harmony
So let me see you stretch your hands across the world
Hands across the world...

I’m reaching out to all of the hoods and the streets everywhere
I’m reaching out to all in need to show the world that you care
Can’t go no more you’ve given up and your energy’s running low
I’m reaching out to the pastors and the words they give us all
I believe that if you believe then we can achieve anything
So lift your voice and give it everything
Now let you’re your heart sing

Chorus:
Africa to America
Everywhere common and spread some love
We got faith and a little hope
I believe that we can heal the globe
It’s time to open our eyes and see
That all we need is you and me
Unity’s like harmony
So let me see you stretch your hands across the world
Hands across the world...

It’s the world main project my desire
The power of love you cannot deny ya
Let’s go people it’s time to go higher
Let’s spread your wings I believe you can fly ya
We can do anything if we believe
Let me see you dance if you got victory
If we come together we can make history
So let me see you reach

[Chorus: X 2]
Africa to America
Everywhere common and spread some love
We got faith and a little hope
I believe that we can heal the globe
It’s time to open our eyes and see
All we need is you and me
Unity’s like harmony
So let me see you stretch your hands across the world
Hands across the world

Cross the World
One8 project
Feel free

Next time nitakuja na lyrics za cheketua... Ama nenee!!!

XOXO!!!

MY WOMAN CRUSH EVERYDAY...

Dolls..
Nimeshindwa kuvumilia hadi kesho to make her my WCW so acha tuu awe my WCT....Is there any problem kwaniiii???!!!
She is my WCEverydayyyyyy!!!!

Eve akee mie...



Aaaawww....



Cute



Stay lovely,
XOXO!!!

QUEEN OF SELFIES.....

Hellow....
Kati ya wapenda #Selfie(kujipiga picha mwenyewe) jamani Eve anaongoza... Hahahahaaa, She is my own queen of selfies...

My Eve in her crib...

Them sexy eyes...





XOXO!!

Monday, June 29, 2015

MY LIFE, MY RULES....

Hellow,
Have a lovely week everybody!!
Msisahau this is my life, chokochoko sipendi... My life,my rules... Hufurahishwi na ninachoki'post hapa basi pita vileeeeeeee => => =>
This is my life and i live it RIGHT!!!!
We only live once, but if we do it right then ONCE is Enough!!!
Life is so much brighter when you focus on what truly matters...
Life is Beautiful, just like an ocean... Sometimes calm,rough and sometimes rigid But it's always beautiful!!!
Life is too short to worry about people's shits... Be you, be real, be happy and mind your fuckin' business!!!
Don't mix between my personality and my attitude,because my personality is ME and my attitude depends on YOU....
My life may fail to be perfect but never failed to be beutiful... I love my life!!!
My Life,My rules...

Stay Lovely,
XOXO!!

Friday, June 26, 2015

FRIDAY SPECIAL....

Yeah...This is special post to all Muslims... Ramadhan Kareem to you all!!! Msisahau Ramadhan isn't about loosing weight,it's about loosing sins... M'barikiwe!!!

















Make-Up By Gf...


XOXO!!

KIMYA-KIMYA.....

Dolls...
This is what i always do when i am happy eeeh...Kupiga picha and to blog!!!
Here comes Gf in a white min-dress with some touches of mambo ya pwani flani iviii amazing...

Leo ni kimya-kimya... Msome tuu picha ama neneee















XOXO!!!

ISSUE YA FAIZA KUNYANG'ANYWA MTOTO NA MH.SUGU YAFIKA BUNGENI, SUGU AMWAGA MACHOZI AKIIELEZEA HIYO ISSUE...

Dears,
Finally leo nimeweza tena ku'blog... Hahahaha.. Yaani nilikuwa na huzuni sana about hii issue ila sasa naona inaelekea pazuri!!! Mungu aendelee kumpigania Faiza na Sasha wake..Inshallah!!!

#SuguBringBackSasha sasa imetinga bungeni...


Wa kwanza kuwasha kipaza sauti alikuwa Mbunge Martha Mlata: “Tuna Mbunge mwenzetu amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku moja Mahakamani kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu anajijua kwa sababu mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto wake”>>>

Mbunge David Kafulila akadakia  “Hii nchi ina mihimili mitatu, Bunge, Mahakama na Serikali… Tuheshimu maamuzi ya Mahakama”>>>

Hahahaaa,alikatishwajeee na Mh.Spika.... Then akamaliza yoooteee waziri wa fedha...Huyu mama jamani nimempenda bureee...kaongea ukweli mtupuuuu...kila mtu ana matatizo yake jamani mbona hatunyang'anywi watoto??? Mmeona kuvaa nusu uchi tuu ndio sababu ya kutokuwa mama bora...Kiruuu!!!

Waziri Saada Mkuya alikuwa wa mwisho kuongelea ishu hiyo hiyo >>> “Kama mama na mimi nilipoisikia ile taarifa nilipata uchungu, kila binadamu ana mapungufu yake lakini mtotto alelewe na mama yake”>>> 

Kwa maelezo zaidi sikiliza iyo video hapo juu...

MAPYA SASA...
Sugu leo amesimama Bungeni na kulitokea Ufafanuzi swala hilo na Mahakama kumpa haki ya kumlea mtoto kutoka kwa Mama yake Mzazi Faiza Ally..
Sugu Amedai yeye alipeleka vielelezo vyote mahakamani kama inavyotakiwa ambavyo ni pamoja na zile picha zilizozagaa mitandaoni zikionyesha mavazi yasio na maadili ambayo alivaa Faiza na Mwisho mahakama kuridhika kuwa kweli na Kumpa Haki ya Kumlea Mtoto..

Sugu Akaendelea kudai kuwa Swala hilo ni la Kifaragha na kifamilia zaidi na ameomba Bunge na Watu wengine kutoendelea kulijadili zaidi...

Sugu Amesema japo mahakama imempa haki ya kumchukua mtoto lakini bado mpaka sasa hajamchukua kupisha majadiliano ya kifamilia zaidi ili kuone hilo tatizo linatatuliwaje...

Mwisho Sugu alipomaliza Kuongea Alionekana Akitokwa na Machozi Usoni Mwake...


Makubwaaaa..Hata akilia bana mtoto bado mdogo akae na mama yake..Period!!!


XOXO!!
















Wednesday, June 24, 2015

FAIZA KUNYANG'ANYWA SASHA NA MH.SUGU SIO HAKI KABISAAAAA.....

Hey wapenzi,

Jamani ebu kwanza someni hii habari then tutaendelea.... 
''Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) ameshinda kesi aliyomfungulia aliyewahi kuwa mchumba wake Faiza Ally ambaye pia ni mama wa mtoto wake wa kike aitwaye Sasha.
Kwa mujibu wa maelezo ya Faiza kupitia akaunti yake ya Instagram, mahakama imetoa hukumu ambayo ni mtoto achukuliwe na kulelewa na baba yake mzazi.
Sugu alimshitaki Faiza kwa madai kuwa hana maadili na ana hofia kuwa atamharibu mtoto wao, hivyo alitaka kumchukua mtoto kutoka kwa mama yake aishi naye.
Hiki ndicho amekiandika Faiza baada ya hukumu kutolewa:
“Sielewi Joseph ameshindaje kesi- ushahidi wa picha peke yake sioni kama unatosha mimi kupokonywa mtoto wangu,mtoto wangu ni mdogo sana ananihitaji sana, na sita rudi hata ikibidi kuuza kila nilicho nacho kwa ajili ya kusimamia hili.
"Sijapewa nafasi nimepelekwa mahakamani ijumaa na leo jumanne nimepewa hukumu/ mwanangu achukuliwe….. hapana ! sitarudi nyuma na haitakua rahisi ninakata rufaa na kutafuta wakili wa kunisimamia hili.
"Mwanangu anasoma vizuri anaishi vizuri na naamini kwenye mikono yangu yuko salama zaidi ya kokote/ yaani kuhusu kukosa kukaa na mwanangu ni bora kufa kuliko kuishi nikimuona sasha ana lelewa na mama mwingine ikiwa mimi mama yake niko hai na makini katika malezi ya mtoto wangu.
 "Nina ndoto na mwanangu nyingi sana , nahitaji kuishi nae yeye ndio kila kitu kwenye maisha yangu/ nampenda sana mwanangu na sijashindwa kumlea.
"Naona uchungu sana kupelekwa mahakamani na kupokonywa mtoto wangu bila sababu za msingi .
 "Sitaogopa cheo chake cha ubunge kamwe ntasimama kama mama mwenye haki kwa mtoto wake …mungu naomba nielekeze.nisimamie na unihukumie huu ukatili ninao fanyiwa na baba sasha …..”

Aya sasa tuendelee...
Wapenzi yaani naandika hapa nikiwa in tears... Nimeumia sana, yaani sanaaaa na hukumu hiyo aliyopewa Faiza maana mimi pia ni mama.. Na najua uchungu wa mwana!! Na kamwe siwezi ruhusu wanangu wakalelewe na mwanamke mwingine wakati mimi nipo hai... Never ever!!!!!
Labda niwe nimekufa hapo sintakuwa na ujanja na If and only if, nikiwa hai niwe na disability ambayo kweli ni ngumu kumlea mtoto wangu kama vile niwe kichaa au niwe sina mikono na miguu,hapo hata mimi nitakubali mwanamke mwingine awalee wanangu kishingo upande... Ila nipo haiii na afya na nguvu ninazo HAITAKAA ITOKEEEE!!!
Hakuna mwanamke mwingine anayeweza kuwalea wanangu vizuri zaidi ya mimi niliyewazaa.. Hapo nina uhakika 100% maana mimi mwenyewe siwezi kumlea mtoto wa mwanamke mwingine nikampa mapenzi 100% kama ambayo angepewa na mama yake..

Labda mie sijui sheria vizuri ila sidhani kama kuvaa nguo za uchi ni sababu tosha inayoweza kufanya mama mzazi kunyang'anywa mwanae, tena mtoto wa miaka miwili tuu jamani... Ebu wale wanasheria wanisaidie hapa is this right????? Yaani kisa tuu kuvaa nguo za kunionyesha mwili wangu naweza kukosa haki ya kuwa ''mama'' to my own babies???? Aiseeee zis iz noti raitiiii (In Idrisa's voice)
Au labda hii sheria ipo applied in Tanzania only... Maana kama ipogo kila mahali ebu jaribuni kupata picha Kim Kardashian ingekuwaje???? Hahahahaa, yaani Kim angenyang'anywa mwanae na angepigwa stop kabisaaa kuzaa tena...maana picha zake yule ndio zina'break the Internet kabisaaa!!!

Mie nam'follow Faiza on instagram tokea zamani sana, na siku hiyo ya tuzo alivyovaa ivo hadi tako likaonekana kesho yake alijieleza kuwa halikuwa lengo lake kuacha tako wazi ivooo ila ni kamkanda kalipanda na aliomba radhi kwa hilo...
Anyways, hata kama alidhamiria kukaa uchi,sawa tuu ila that can never make her a bad mother... Wa'mama wangapi wanajiuza ili to feed their babies???? Unakuta m'mama yupo tayari hata kupigwa picha za uchi kabisaaaa ''nyapu'' nje njeee ili tuu mwanae awe na maisha mazuri.. Does that makes her a bad mother???? Hapana aiseeee...

Mh.Sugu hapo kwa hiyo picha alitaka wavae madela maana hiyo picha ndio iliyotumika mahakamani kuwa Sasha anapigwa picha za uchi na zinasambazwa mitandaoni... Hahahahaaaa, Uuuuuwiiii..ivi na nyie wadada muwage mnaangalia na watu wa kuzaa nao sometimes... Hapo wapo beach, mama na mwana wana have fun jamani alitaka wavaaje???
Na huyo hakimu nae hana akili za kujiongeza pia... Lazima alikuwa ana'act under something ''unknown'' maana kiukweli pia hii kesi ilivyoenda kila mtu anashangaa sana hukumu ya fasta fasta na tayari kesi imeisha....Dah!!!

 Nahisi Mh.Sugu huko mahakamani alisema mwanae anateseka sana, mama hana time nae, hatunzwi vizuri, yaani yupo full abused so hakimu aka'panic akatoa hukumu ya fasta au???

Maana kwa hili swala la mavazi aiseee umetuchosha sana wananchi ..Tunaona kama unatumia cheo chako kumnyanyasa Faiza, maana mheshimiwa wewe ulimjua Faiza zamani sanaaaa, hujamjua juzi wala jana, na nguo zake ndio zilikuwaga ivo ivo maana picha pia tulikuwa tunaziona years back... 
Faiza alikuwa mtu wa kujiachia hata akiwa na Mh.Sugu, anapenda sana beach-life na anapenda sana kupiga picha... Iweje sasa ndio uone kuwa nguo zake sio za maadili???? 
Na kama uliona nguo zake sio za maadili ulianzaje kuzaa nae???? Duh...nilikuwa namkubali na kumheshimu sana Mh.Sugu ila kwa hiliiii loooh, nimemuona nae kumbe ni wale wale wa kubebewa akili zao na watu.... Maana hapa mheshimiwa hujazitumia akili zako zote!!
 
Who wouldn't wish to be like this???? Aisee mie natamaniiii, yaani nawatamani hatareeee... Mama na binti rock in beautiful-bikin swaggers... Aaaaw!!!

Pole sana Faiza, najua upo katika wakati mgumu sana, Mwenyezi Mungu akuonekanie na akutie nguvu pia akusaidie katika magumu yote haya unayopitia...you are in my prayers...

Jamani wale wa kutetea haki za wanawake, haki za mama na mtoto pleaseee mjitokeze mumsaidie Faiza katika hili...

NB;Nasikia pia mheshimiwa alimpeleka Sasha kunyolewa nywele zake bila kumshirikisha Faiza..
Jamani jamani jamaniiii!!! Dah..
Naomba tuu niachie hapo maana sipati picha siku nimkute Faith wangu kanyolewa bila mie kuambiwa kitu chochote, hahahahaaa...#WorldWar3

USHAURI WA BURE: Mh.Sugu mimi nakushauri ungemwachia tuu Faiza mtot wake maana kati yako wewe na Faiza wote mta'loose sana mkiendelea na haya mambo... Faiza anaongea na kuandika mengi sana juu yako kwasababu ya hasira na uchungu wa mwanae... Hii itakushusha sana kisiasa, maana wewe na familia yako ni uozo mtupuuuu according to maneno anayoongea Faiza wewe hustahili kuwa hata Mbunge tena, nani anataka mbunge mfi*****i????? Ndugu zako walimpa house-girl wenu mimba na amezaa mtoto hajulikani ni wa ndugu mkubwa au mdogo, unataka watu waanze kukuchunguza na wewe personal life yako kweli unafaa kuwa baba??? Tena kwa binti mdogo wa miaka miwili?????
Siku zote ulikuwa wapi usimtake mwanao hadi uanze kuombwa kodi ya nyumba ndio useme mavazi ya mama hayana maadili??? Sugu Sugu Suguuu unaiangusha CHADEMA na wananchi wako wa Mbeya sana, achana na hii issue kabisaaaa.... Mrudishe Sasha kwa mama yake pleaseee!!!


Put Faiza on your prayers too,
XOXO!!!

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT