PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, September 15, 2017

MAMBO NI MOTOOOO......!!!

Hi dears,
I have been busy kidogo kwa hizi past few days nilikuwa namalizia malizia the new project ambayo sasa ipo ready kuwa introduced kwenu...
Actually it has already been introduced kwa wale ambao wanani'follow on my Instagram account... (go follow me @flowerhenry7 )   and special account for cosmetics is @e.zone_cosmetics
 No automatic alt text available.
E-Zone is a very new cosmetics point in town...
No automatic alt text available. 
Follow us on instagram account iyo apo...
 
Ni duka jipya la vipodozi na urembo wa kila aina, kuanzia watoto, wanaume na wanawake.... wote lazima tuwe watanashati... 
E-Zone Cosmetics is located in Iringa town, jirani kabisa na GF MIN DEPOT
No automatic alt text available.
Pamoja na kuuza a high end quality products pia E-Zone Cosmetics tunatoa huduma za Ushauri wa urembo... Njoo tukujibu maswali yako yoteee yanayohusiana na urembo.

Tutakushauri jinsi ya kutunza na kuboresha:
  • Ngozi yako 
  • Kucha zako
  • Nywele zako
  • Lips na macho yako
  • Miguu yako
Na kubwa kuliko vyoteeee, wale wenzangu na mie tunaopenda kuwa ma'beyonce, mje tukusaidie kuwa vile ambavyo umekuwa ukitamani kuwa kwa muda mrefu na bado hujawa... Karibu sana na utupe nafasi tukusaidie tuitimize ndoto yako...

  • Umeungua na creams feki??!! Njoo tukurudishie ngozi yako ya asili then sasa uanze upya kuutafuta uzungu...

  • Una sugu na rangi tofauti tofauti mwilini na usoni??! Ata usiwaze yaani wee njoo tukupe products za kukupa rangi moja mwili mzima...

  • Una michirizi ya unene/mimba/creams??!! Karibu ufute michirizi, madoa, makovu na mabakabaka yoteee mwilini

Kwa wale wa ku'keep it natural nao pia kuna lots of products ambazo zitawafanya waonekane watanashati zaidi na wenye nuru ya asili... 

Please dears, spread the news!!!

 Mawasiliano; 0753 891 997

KARIBUNI SANA...
XOXO!!!

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT