PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Wednesday, November 30, 2016

GF's WORDS OF WISDOM....

Hey all,
Sometimes katika maisha kuna muda tunakuwa too carried away na mapurukushani ya dunia hadi tunajisahau who we are... 
Hiyo hali inatokana na vile kila mmoja wetu anajaribu to do something to make a living... Too bad vile sometimes tumekuwa tukilalamika sanaaa about life...iwe ni about mahusiano kuwa vile hatutaki yawe, au hali ngumu ya uchumi, madeni, maisha magumu na pengine ni maradhi na kero zisizoisha.... 
Sometimes tumekuwa watu wa kulaani, kulaumu na kuona tunanyanyasika tuu kwa kila hali...
Pia tumekuwa tukiota ndoto na kutamani kuwa kama watu wengine...na mbaya zaidiii hadi tumediriki kuwanenea mabaya na kuwazushia uovu wale tunaowaona wana maisha mazuri zaidi yetu... 
Tumekuwa watu wa kusengenyana na tumejawa fitina, uongo, wivu wa kijinga na husda dhidi ya binadamu wenzetu.... Tumejisahau kabisa who we are!!!

I am not here to judge ama kumnyooshea anyone kidole... All i am here to say is...

Sometimes we need to take a pose in life... tutulie na tuache kufanya lolote, just stay still...get the fresh air, breath in and out!!! Just relaxxxx... 
Stop worrying about anything... usimuwaze mtu wala usiwaze kitu for a while, clear your mind for a moment...take atleast 15minutes break from everything... Then start afresh... Be you, that's all matters!!! 
New begining, new you... Usijali about anyone else but yourself maana mapurukushani mengiii yatakufanya tena ujisahau who you are... jiwaze wewe na maisha unayoyataka wewe...Be positive, ondoa kabisa negativity katika maisha yako for a moment, waza how blessed you are to be you... Think about how many people would wish just to be alive ili watimize ndoto zao... Be greatfull for the gift of life... mkabidhi Mungu/Allah mapurukushani yako yooooteeeeeeeee and be thankful maana that's all you have to do and God will do the rest... 
 
Anza kwa kuwaombea na kuwabariki wengine... Muombee mumeo/mkeo, ombea familia yako sanaaaa, ombea jamii nzima inayokuzunguka na uwabariki kwa kumaanisha!!!
Penda kutoa zaidi ya kupokea maana the more you give the more and more you receive, jifunze kutoa and you'll see wonders...
Fanya kazi kwa uaminifu and make sure you don't i repeat DONT ever compete with anyone but yourself... Usijifananishe wala usishindane na mtu yeyote zaidi yako, you are you and nobody can be you...Being you is your POWER, use it!!! 
Ishi maisha yako at your level... Ishi vile hali yako inaruhusu, usijikweze ili uonekane wewe ndie wewe kumbe unaongeza tuu madeni ku'maintain status... Utaumbuka!!!! 

 
Hayo ni maneno yangu ya hekima kwa leo, so as i said i am not here to judge anyone so msini'judge na mie pia, ni ushauri nimetoa na mie nimejishauri pia so take it and come thank me later, 
 
Ila nimeanza-anza kurudia hali yangu ya kawaida eeeeh??!!! Asante diet, hahahahaaaaaa.... maana huu mwili wangu sasa ulitaka kuwa kokoro(In DiamondPlatnamz voice)

And heyyy...that hair style sio kijogoo-style, excuse meee...Iyo ni tetea-style, tetea la mwendokasiiii.... Hahahahhahaaaa!!!

Nawapenda sanaaaaaa!!!
XOXO!!!

Friday, November 25, 2016

I AM VERYYYYY HAPPYYYYY....

Dear ones,
 Si mnajua vile it feels ukipanga jambo then liende kama vile ulivyolipanga... Dah, unapata furaha ya ajabu... Na that is what happen to me leo, can't wait to share all the good news with you all... hahahahaa, yaani nina furaha leo...kiukweli nina raha mnoooo.... mambo ni motoooo!!!! 
Mchagga nilitumwa pesaaa, hahahaaaa.... Yaani mkae tuu mkao wa kula, kunywa na kupendeza... si nilishawaambia kuwa ''Gf'' is too many things in one package eeeh??!!! Na sasa nakuja kivingine tena... All i need is your never die love, muendelee kunipa support tuu wapendwa wangu maana mie na nyieeee.....
Kiukweli tulipotoka ni mbaliiii mnooo, na hadi hapa tulipofika ni kwa Neema tuu na Baraka zake Mungu wetu....Sitamani kuwapoteza hata dakika sifuri, maana nawapenda hatareeee...haswaaaa vile mnavyojuaga kuniungisha, hahahahaa...wallahy nawa'loveee!!!
Don't mind my hair-style maana ilidumu kwa muda wa masaa 48 tuu, hahahaaa... It's just i am too happyyyy hadi najikuta na'post picha nilizoziwekaga kwenye recycle bin...lol, ila Hakuna Matata kwa my t-shirt ndio mpango mzimaaa.... For reallll. hakuna matata!!!

HAKUNA
MATATA
Early December 2016 nitawapa full reasons za mie kuwa this happy leo... 
Ndio ivyo tena nishaamua nyie muwe part of my life...hakuna namnaaa... Hahahahaaa.... nitawaambia tuu, ila leo mjue tuu yaani Gf ana rahaaa mnooo and natamani kila anayesoma hapa na yeye aungane na mie kuwa happyyyy!!!

Be Happy My Dear,
Enjoy the week-end...

Happy Fridayyyy!!!!
XOXO...

Thursday, November 24, 2016

FEELS GOOD TO BE HERE....

Hey my dear,
Yaani leo nimekaa kusoma all the comments from my social-media accounts, all the inbox and direct messages...and nimezijibu almost zoteeee... Kiukweli na'appreciate the love i get from you people....mna mahaba ya mwendo kasi, hahahahaaa!!! 
God bless you all...
Katika kujibu pia naomba tuu mnisamehe niliowakwaza and mlionikwaza pia consider yourself forgiven!!!
Some messages, hasa hasa zile za kuomba ushauri na zile za fursa za kujitafutia pesa huwa zinanitamanisha niwe nazi'share hapa ili watu mtoe ushauri in general and mkamate fursa...
So nimeona kwa vile mwaka ndio unaishia ishia ivyooo....wacha tuzifanye hizo ziwe goals zetu za 2017...
Let's set the goals pamoja, tena mapemaaa ili ikifika tuu 2017 basi tuwe ni kuzifanyia kazi... Hope next year tuwe na day special kwaajili ya kutoa ushauri and kupeana mawazo ya life... Ama vepee??!!

Iyo ipite au isipiteee???!!!! Waiting for your ideas wapendwa wangu... Si mnajua bila nyie mie sio Gf eeeh.... basi nasubiria mawazo yenu....
 
Can not simama for the picture maana nimekuwa too kibongeee...hahahahaa, but my hair did me wonders!!!! Nywele tamuuuu....from Da'Ruth wangu... Anaziuza and anazishone, yaani unanunua hapo hapo na unasukwa apo apo...tena kwa veryyyy affordable price... Unatoka umependeza na full upako juu...hahahahaaa... Ni'check 0753 891 997 nikuunganishe nae...Kwa wale waliopo Arusha tuu ndio watapata huduma ya kushonewa but kwa wale wa mbali anatuma wivings na wigs, zote originals na za kawaida... Follow her on her Instagram page ili kujua zaidi @ruthhenry81

It's always too good to be here...


Lovely Thursday My Darlings...
XOXO!!!

Friday, November 18, 2016

HUBBY'S BIRTHDAY....

Hi all,
Jana was my hubby's birthday... 
 
And for those ambao mnani'follow Instagram nadhani jana tuli'enjoy pamoja na post zangu za mashauzi, hahahahaa... And kwa wale ambao hamjani'follow, feel free to follow me... User name ni @flowerhenry7   
And pia nowdays i am not a very big fan wa facebook so ni fresh if tutakuwa tuna'hook up more on Instagram and here... ila i'll be sharing my blog posts kwa facebook account pia, only sintakuwa na'post events na mambo mengine mengine direct huko.... sawa lovies??!! 

On my Instagram nadhani nilishayasema yoooteee ambayo i wanted to say... Ila tuu niongezee kidogo kuwa, nilimpa mume wangu cake yenye noti ya pesa kubwa kuliko zote Tanzania (note ya 10,000/=) maana all i wish for him is nothing but utajiri mkubwaaaa mnooo.... 
Namtakia wallets zake and his bank accounts zote ziwe full of notes, full of money, maana naona as richer as he becomes ndio na mie nazidi kula batraaaa more and more... 
As richer anakuwa na mie ndio nazidi kung'araaa... as richer as anaendelea kuwa anazidi kunipa uhakika na amani ya maisha...hahahaaa Mchagga mie najikuta nazidi tuu kumpenda more and moreee kila siku... 
Msininukuu vibaya jamani nampendaga kwa hali zote ilaaaaa hahahahahaaaa.....
Yaani akiwa na hela mume wangu mie ndio nakuwa na rahaaa zaidi, napata kila kitu roho inapenda, nikiguna tuu naulizwa baby unataka nini?? hahahahaaa... 
sasa why not nisikazane kumuombea ili Mungu amzidishie nyingiiiii na nyingiiii zaidi??? Kwanini nisiendelee kumtia moyo na kumpenda wakati ma'caring yanaongezeka kila siku, mahaba moto motooo na pesa ndefu juu,kiruuuu!!! 
Mungu wa mbinguni ampe vyoteee aviombavyo na zaidi maana utajiri wake unazidisha tabasamu usoni mwangu!!!
 Hakika mume wangu ni mume bora... Ni that type of mwanaume ambaye kila mwanamke anasugua goti ampate, ila kwa neema za Mungu ninayemuamini mie amenipa tuu, kirahisi rahisiiii akawa wangu..yaani wangu kihalali kabisaaaa!!!! 
Asante Yesu wangu...endelea kumlinda mume wangu, nilindie Yesu, mlinde na nyakunyaku, na zaidi endelea kumpa hofu ya Mungu, na zaidi pia Yesu wangu naomba manoti yaendelee kuongezekaaaaa!!! AMEN....

Aya sasa mseme AMEN wapendwa wa mie...lol, 

Owky...about last night sasa...
 
Tulifanya ka'small party home, mume wangu hapendagi mambo za party party so nilijitahidi iwe tuu simple but lovely ili nisimkwaze...
Sasa buanaaa, mpiga picha wa jana alikuwa my son...Fred Jr.... So kiukweli picha zilikuwa amazing ukilinganisha na his age, hahahahaaa...ila i'll only share with you veryyyyy few pics(za msosi and cake only)...hizo nyingine(za sisi/me,mr and Faith) hadi nizitafakari zaidi then nitajua when to post them...hahahahahahaaaa!!!
Enjoy....
Msosi wote cooked by me...
Mama la mama kwa jiko, yaani ni mambo hatareeeeeeeeeeeee!!!!
Nilipika kitu cha mseto wa wali maharage nazi, yaani that is my son's favorite dish... hahahaaa, hata umpikie mwezi mzima yaani atakula kila siku na tabasamu tamuuu usoni, hahahaaa!!! 
Pia nilikaanga cubes potatoes na sliced-ndizi mzuzu... 
Nikatengeneza na my own ''plata'' dish... Ni mix fillet ya kuku and king-fish, boneless white meat plata...
 I made the chachandu, (nyanya,kitunguu maji na kitunguu swaumu,chumvi and secrete spices, mafuta kidogooo na pilipili mbuzi kiasi) hapana chezea mama la mama akiamua kupika... hahahaaa, najikutaga nakuwa M'pwani ghaflaaa...U'chagga mwisho sitting-room baab, bedroom na jikoni nakuwaga m'zanzibarrrr... Hahahahahaaaaaa!!!! 
Bila kusahau kitu cha kachumbari kidogo...cabbage ya kukaanga kidogo, chumvi, nyanya mbichi na tango... That's it!!!!
 
 
 Nyama-dish ndio ilikuwa noumerrrr zaidi... Apo ni samaki na kuku mixed na spices za maana...zinanukia vizuriiii and tamuu balaaa!!! And hazina mifupa,so you can imagne apo unaweza kula hadi ukajing'ata na vidole...maana ni tamuuuuuuuuuu... Utamu usiopimika!!!
  
Soft drinks onlyyyy...
My hubby does not take hard stuffs, hanywi pombe kabisaaaaa...no wine no beer no kinywaji chochote chenye kilevi, ni soda maji na juice tuu so since it was his day basiii mambo yalikuwa yanaenda on his favours....
Tuishie hapa and ngoja niendelee kutafakari na kuchambua chambua picha nyingine za ku'post...maanaaaa, hahahahahaha!!! Mpiga picha alitishaaaa...



Happy Birthday Mume wangu kipenzi...
Mwanaume wa maisha yangu...
Fred wangu...

XOXO!!!

Monday, November 7, 2016

IT'S NOVEMBER 2016 ALREADY....??!!

Hellow lovies,
Can you guys imagine it's November already??!!! Dah, kweli siku hazigandi... 
 
I am veryyy veryyy thankfull for the last month... Kiukweli October was the very great month for me and my family... Tumemuona Mungu in so many magical ways akiendelea kutupigania, kutukuza, kututetea, kutubariki na tumeuvuka vyema mwezi wa kumi... 
Na sasa kibabeee kabisa tumeuanza mwezi wa kumi na moja, sifa zote na heshima na shukrani zimrudie aliye juu!!! 
 
Tuhesabie tuu sasa only December left tuumalize mwaka 2016, means we got only one month left to make sure all the goals we set for 2016 ziwe accomplished... Hata kama sio 100% accomplished basi atleast tufikishae 95%... 
Only one month, yaani December should be the month of final-touches tuu...

I personally not there yet, but i am sooo very proud of me maana i am not where i used to be... Atleast nipo ni 80% kukamilisha my 2016 goals... And sijakata tamaa yet na wala sina mpangu wa kukata tamaa ever!!!
So hey, pull up your sox... mwezi mmoja kitu ganiiii??!! 
Let's all believe katika Yeye atutiaye nguvu... Mie naamini huu mwezi mmoja nitakamilisha yoooteeee and more than what i planned for 2016... In God i trust, can somebody shout AMEN!!!!

Aya sasa...
 Endelea ku'enjoy mapicha picha ya ''our road-trip'' to Arusha... 
Me and my F-babies drove all the way from Iringa to Arusha and tukafika as beautiful as we look apo kwa photos... Sooo fresh soo clean, hatuonekani na hata chembe ya uchovu... hahahhaaaa...
 Chezea kupania safari wewee, unaanzaje kuchoka kwa mfanoooo??!!!! Hahahaahaha... 
Apo tulianza safari usiku usiku and by lunch time tulishatinga A.city... And ofcoz bi.arusi wetu was waiting eagerly for us, so hata before hatujafika home Eve treated us with  lunch ya ki'nyota tano at Mount Meru Hotel...
 
You can not even tell kama nimechoka eee???!!! Hahahahahaa, apo nilikuwa na usingizi hatareeee coz sikulala usingizi mnono and by saa nane usiku we were hitting the road....
Imagine sikulala fresh maana nilikuwa nashtukashtuka kila saa nawaza tuu Arusha, hahahahaaaaa.... Tuliipania hii safari wallahy...utasema tulikuwa tunaenda kuolewa sie...lol... Eve ulichotufanyia wenzako, hahahahahaaaaaaaaa!!!

 
 
 
These babies are something else, yaaniiii safari nzima walilala tuu ile usiku usiku hadi tulipokaribia kuingia Singida wakaamka...huko kwingine koteeee wapo macho wananipigia tuu mastory and wanaplan how wakifika Arusha itavyokuwa...hahahahaaaa!!! My babies ni noumerrr sanaaa... and wakasema safarini lazima eti wasafiri wavae miwani...hahahahaa, kusafiri na hawa wawili wallahy ni rahaaa...tena rahaaa sana!!! 
And sikuweza kupiga picha nyingi coz nilikuwa nimepania mnooo kufika Arusha, so muda wa kusimama kupiga picha nilikuwa naona kama tunachelewa vileee... Hahahahaaa, hizo picha za ndani ya gari was arround Singida when my babies walivyoamka i had to stop kidogo for short-calls and to eat...then safari ilivyoendeleaaa ni full kunyookaaa hadi picha nyingine tukaja kuzipiga Mount Meru Hotel - Arusha.... Unaweza pata picha how kupania i was eeeh??!! 
Hahahahaaaaa.... 2016 is absolutely an amazing year!!!
 At Mount Meru Hotel - Arusha...
 
Tumeshibaaaa....sasa ndio tukaenda home!!!

Apo ni ''home'' kwetu kwa mjini party two, kunapo tena ''home'' kwetu kwa mjini part one na part three, and tuna ''home'' kwetu kwa kijijini pia... 
kote ni ''home'' kwetu maana i was born at ''home'' kwetu pa mjini part one, and raised at ''home'' kwetu pa mjini part two, niliolewa nikiwa ''home'' kwetu pa mjini part three na now my parents shughuli zao wanazifanyia sana kule ''home'' kwetu kwa kijijini... I love being home kwetu pa kijijini more!!!

#Home Is Where My Heart Is....
 

Love you all,
Kisses & Hugs!!!

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT