PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Wednesday, January 28, 2015

''AYAAAA MKE WANGU NIMEKUPA RUHUSA NIPIGE MPAKA NIKOME'' BY NUH MZIWANDA

Dolls, 
Hapa nina mambo kibao ya kuwaza na kufanya ila Nuh kweli leo ame'make my day... Hahahahahaaa, yaani nimecheka leo hadi machozi,duh!!! Kweli haya ndio mahaba niuweeee... Kina G na Fred tutasubiri sana kufikia huku... Kiruuu,hata siombei kufikia huko aisee!!

''Issue ilianzia Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko Yao lililofanyika Leaders Club, msanii Shilole alimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio, mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na kufanikiwa kumtoa Shilole eneo lile lakini baada ya muda Shilole akarudi na kumdai funguo ya gari Nuh ambaye siku hiyo alionekana kuwa mpole ikabidi mabaunsa waingilie kati na kumtoa kwa nguvu shilole, baadae Nuh alionekana akitoa machozi na Malkia wa Taarabu Khadija Kopa alionekana akim'bembeleza na kumfuta machozi''

Ruwa mangi, keleuwiiiii....
Haikuishia hapo, bado Nuh akaenda kujielezea huko Instagram
 

 Naona apo Shishi alimuonea huruma Le-muchumba, nae akatoa yake ili kuzima soo... Sie wazungu tunasema ali'nutralise situation!!!
Ila mashabiki wake walimpondajeeee,kujua comments za mashabiki Ingia Insta page ya Shilolekiuno!!
 
 

Uuuuuwiiii, ningekuwa mie ndio wifi wa Shilole yaani dada ake Nuh,hahahahaaa.... Ningebebwa na mbeleko la chuma maana ningekinukishaaaa!!!

Naona kama Nuh bora angebaki kimya tuu amuache Shilole ajiongeleshe eeeh???
Sasa Nuh kweli ndio umekubali upigwe hadi ukome??? Hahahahaaaaaa, kweli love is on the air!!!

Ila kwa vile hawanihusu, na wenyewe wamesharidhiana kama ivo...wacha sie tubaki na midomo wazi tu!!!Haaaaaaaa....

Na mie namalizia hiviii....
 
 Ayaaa,mume wangu nimekupa ruhusa Nipige mpaka nikome... Hahahaahahaaa!!!


XOXO...
 

I NEED A NEW LOOK...

Hey dears,
How are things..
Mie nipo pouwa sana, God is good and all is well..
Naanza my safari on Friday, now it's confirmed.. Ila sasa natamani a new look..
Sitaki kusafiri na bleached natural hair, wala sitaki kunyoa kwanza before sijazichezea fresh hizi nywele...
Jana I decided to go with this ''mchina look'' i looked oky but still sijajipenda for safari, what else should I do???!!! 

Am still thinking what to do with my hair... Ebu mnipe ma'advices wapendwa??!!

My ''mchina look''
Mie na shoga'angu wa ukweli..

Muke ya Fred...

Madame Director!!!


Hivi vikoti vipo CLASSIC BOUTIQUE, ni free size!!!
na anayetaka kutumiwa pia nicheck kwa 0753 891 997


Cant wait to have another ''new look'' Hahahahahaa!!!



Nawapenda sana!!!
XOXO...

Tuesday, January 27, 2015

JUA KUTOFAUTISHA KATI YA MSALABA NA JUMLISHA.....

Sweet'hearts...
Yaani nina furaha ya ajabu, maana nili'post jana jioni vitu vichache tuu vya ''CLASSIC BOUTIQUE'' ila nimeshapokea oda ya almost everything.. Asanteni sana wapendwa wangu kwa kunipa bonge la support, nawapendaje sasaaaa, yaani nimelala nawaota tuu, hahahahaaa!!!

Sie tuendelee kupendeza tuu, ama neneee??!! Tusake pesa ili tuweze live big life kama Mange Kimambi, hahahaaa.. Ruwa mangi (In Mbutananga's voice)!!!
Twaache wale wasiojua kutofautisha kati ya msalaba na kujumlisha waendeleze drama zao za mitara isiyo na TBS, hahahahaaaa.... Only one thing ni kwamba wanitoe midomoni mwao, wasinizungumzie kabisaaaa maana mie nawaona takataka, and what do we do with takataka??? Twazikusanya sehemu moja, twaziweka jalalani na twazichoma moto PERIOD (In Zari's voice) Hahahahahaaa....

Aya sasa, hizi ni more picha za mzigo mpya ninaoutuma leo Mbeya, ''CLASSIC BOUTIQUE'' ndio habari ya mujini... 
 
All-stars za wazi zinakuja in this colour, red kama ile nimevaa in previous posts na black.. Size zote zipo!!!
Berbra top na kikoti pia zitakuwepo.. Sina mdoli nyumbani,otherwise ningemvalisha kabisa nguo nimpige picha, ila nyingine nitavaa mie ili mzielewe zaidi, sawa eeeh??!! Na picha za wadoli nitawa'postia tukishavipanga vitu fresh...

Hizi raba ndio habari mupya yaani, hizi unavalia tait, gauni hata denim-leggings... Nazo zinakuja CLASSIC BOUTIQUE leo hii...

Wale waliozikosa hizi sendoz in black colour sasa mkae mkao wa kuzivaa maana nyeusi sasa ndio zinakuja nyingi zaidi!!! Size zote zipo pia...









Thank you dears for the big love and support,

XOXO...

Monday, January 26, 2015

GOOD NEWS FOR CLASSIC PEOPLE ONLY...

Hey dears...
How are you all??!!
I am well and namshukuru Mungu kwa wiki nyingine tena na fursa nyingine tena ya kujikusanyia chapaa...

Hii ndio habari ya mujini sasa... Ni habari nzuri kwa watu wangu wa nguvu, wanaopenda kupendeza!!! 

A New Boutique In Mbeya City... Yes, ni ndani ya Jiji la Mbeya.. Ni collaboration ya ''Mama Gf'' na my partner in crime ''Mama K'' wanawake wawili tunaojielewa tumeungana kwa pamoja kuwaletea vitu vya kukufanya utoke bomba!!!

 


Sio pa kukosa hapa, ipo mtaa wa Sokoni (mjini)
Kuna pamba kali za kike, za kiume na za watoto.. Kuna mazagazaga kibaooo ya kukufanya utoke bomba!!!
Unaanzaje sasa kuacha kupendezaaa???!!!
 
All my divas in Mbeya and all over, kama vile mlivyokuwa mnaipa support Gf Boutique sasa please karibuni m'show love to our new Boutique... It's new, bado tunaitafutia jina.. Tukipata jina bomba tutawaletea hapa...
 
 Vitu vipo vingiiii, vizuriii sana sana.. Hapa bado tunapanga panga, soon nitawawekea picha zilizotulia zaidi!!
 
Kama kawaida, mkopo kwa wale watu wangu wa siku zote ni ruhusaaaaaa!!!
 Unanicheck tuu kwa 0753 891 997 au unaweza pia wasiliana na my partner ''Mama K'' kwa simu namba 0755 179 613 (Strictly business)
Popote ulipo pia tunakufikishia mzigo wako safe and sound!!




For now tuiite ''CLASSIC BOUTIQUE'' ama niniiii???!!! Maana vinapatikana vitu classsic tuu huku, na wateja wetu wote ni classic tuu.. Hahahahahaaa!!!
 


Wakati wewe unawaza Gf kasema nini??? Mwenzako nipo busy nasaka pesa!!
Pamba nyepesiiii....










More picha za swagger coming soon!!

Karibuni sana woteee...
My divas in Mbeya, nitakuwepo mujini soon... Nakuja ku'lauch Boutique before Valentine's day so you all better be there, tu'have fun, tubadilishane mawazo na ma'advices pia!!
Couldn't do this all without your support.. Asanteni sana na nawapenda sana sana sanaaa!!!

XOXO...

Out Of Topic!!!
Sasa nyie msiojiamini na yenu mkae tena wote watatu mnijadili na kunitungia maneno wakati mie nipo busy na maendeleo.. hahahaaa!!! Leo kwenye simu mlizonipigia nimekuwa mstaarabu to my level best maana nilikuwa busy na wateja, la sivyo mngefurahi!!! 
Simuogopi mtu bali namuheshimu kila mtu, unataka kumchunguza mtu wako please hire a private investigator na sio kunipigia simu kuniuliza upuuzi!!! 
Una lako la moyoni ebu litoe kivyako, tena ukiwa unajiamini maana ukilitoa huku unajiweka behind my name kuna siku itaku'cost.. Au ukisema ni mie nimesema unaona masifaaa??? Kuwa siku hizi tumekuwa mashostito??? Nyooooo...
Alafu tusifundishane kuishi... Last time I check, bundle nilinunuliwa na Fred (my hubby) so I post whatever I want... By the way, this is my blog, na facebook na'post kwa page yangu, na insta pia nikiku'tag ujue nakukubali... Sasa wewe wawashwa na nini???
Mtu arudie kunipigia simu kuniuliza u******e... Hahahahaha, nitakuonyesha kuwa mie ni Madam Director!!
Situmiagi mtu kati kufukisha ujumbe, na simtungii mtu uongo maana ni dhambi!! 
Mkae kama mnavyokaaga na mmalizane kama mnavyomalizanaga na sio kunitungia mambo ya kunipotezea muda.. Inaeleke mnaniwaza eeeh???!!! Hahahahaha.. 
Maana hata ungeuliza Iringa nzima ungepata majibu sasa why me???!!! Kiruuu...
Last but not least, leo nimewahifadhi majina yenu ila next time mnaniuliza maswala yenu yasiyo na maendeleo Ooooh, nitawaweka hapa na picha zenu kabisaaa maana hamna haya, watu wazima hovyooo, bora hata huyo mtoto naweza muona hajakua so akikua ataacha, nyie vikongwe ndio msinizoee kabisaaa na mnikome... Mmxiuuu!!!

Hapa sasa my day ended very well...

Sunday, January 25, 2015

WHITE & RED

Dolls....
Karibuni ''stress free zone''   
As I told you nipo in mood ya safari so we are planning on a road trip... Najua nikiwa safarini nitawa'miss sana, ila msijali maana kila nitakapopata time nitakuwa nawa'update, na sure thing ni kwamba nikirudi tuu mapicha picha yatakuwepo ya kutoshaaa...

Aya, ili nisiwaache bored ngoja leo niwawekee as many pictures as possible..as many posts as possible too (usizisome sasa zote leo,lol...bakiza na za kusoma kesho jamani) Hahahaaa.. natania banaa, wee soma tuu!!!

This was my white and red look...
Super beautiful...
 
 I love what I see here...

 Aaaawww...

Kiruuu... Is this me??!! Yeah...
 Mama La Mama....
Wakuitwaga Madam Director (In Wahehe's voice)
 
Diet nitaku'miss nikisafiri jamaniii...maana najua huko ni kula day and night!!!

 Walah mie ni mzuri.... Hahahahaa!!!
 Mmmmmwaaah...
Najipenda nikiwa naanza kupungua maana ndio nanogajeee...

 
Aaaah, zinatosha sasa wapenzi wangu.. Hahahahaaa, au niendeleee???!!!

When I say I love picture, huwa sitaniii...Yaani napenda picha hadi nawakeraga watu wanaonizunguka since I cant always take selfie...lazima mtu anipige, and when nataka kupigwa picha you cant refuse maana nitakubembeleza hadi utajisikia aibuuu, so utaishia kunipiga picha tuu hata kama kishingo upande ila mie na amani zoooteee, hahahahaa..
I must have my own Kifesi sasa ili nisiwakwaze watu eeeh... Hahahaha!!
(Kifesi ni mpiga picha wa kaka Diamond)



Thanx for being here with me, am humbled you know(In Lemutuz voice)

XOXO!!

OUT & ABOUT...

Hey dears...
Habari za Jumapili?! Mine was great... Namshukuru Mungu mie na familia yangu tumekuwa na siku yenye furaha sana leo, and the best part of my day ni kulala hadi saa saba mchana,hahahaaaa..
Yeah, after a very busy week what else should I wish to do in this beautiful Sunday???!!!

By the way, jana nilikuwa kwenye Send-off party of my friend so I slept late.. Hiyo pia ni reason ya kuchelewa kuamka sana leo..
Nilikuwa na'feel like going out ila my F-Babies are all over me...wanataka tucheze wote, tuangalie cartoons and tupige stories...

How can I refuse such a sweet proposal from my angels then???!!!

Ikabidi niwe mpole, tuchezeeee na tufanye wanavyotaka wao..
Finally wote (daddy and babies) wamelala, my Telemundo nayo inarudia rudia tuu tamthilia so nimebaki very idle...
Thank God I have you guys mnani'keep busy here... You all make my Sunday so very wonderfull..

Was still think of mtoko and I remember my last week'end look of mtoko.. Nilitokelezea ki'portableKibonge.. Eeeeh, utaelewa tuu iyo size ni gani maana kwenye u'portable sipo na kwenye ubonge sipo...

How could I forget to share with you these sexy pics of me???!!! Aaaah,labda kwa vile I took so many pictures resently, hadi nyingine najisahau kama nimeshazi'post or not.... 

Enjoy!!! 'out and about' look!!!
 
 Mama'ake F-Babies...
 Who says ''mommy'' cant look sexy?? (In Zari's voice) Hahahahaa!!!
Muke ya Fred...
Hapo nilikuwa na ulinzi mkaliii, sikubanduka mkononi hadi narudi home duuuuu... was so sooo lovely outing!!!

 Heeee!! Umbea kidogo, talking about Zari.. Eti she is not pregnant!!! Ile ultrasound aliyoweka kaka was just an application, anyone can download and aonekane pregooo!!! Hahahahaa, makubwaaa basiii, ebu tusubirie more ndimu wapenzi wa mie,miezi tisa sio mingi mbona....


Nawapenda sana zaidi ya sana!!
XOXO...

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT