PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, August 30, 2016

MAWAKALA WA BLACK BEE GIN...

Dears,
As nilishawapa taarifa siku za nyuma about availability ya Black Bee Gin at my depot
(Please search posts za nyuma about Black bee gin if umesahau)
ila tuu shortly ni kwamba GF MIN DEPOT ndiyo Main-distributor of Black Bee Gin kwa southern highlands of Tanzania...
Na baada ya watu kuielewa, kuikubali na kuipenda gin yetu sasa tumezidi kurahisisha upatikanaji wa Black Bee Gin kwa kuwa na mawakala... Na hii ni fursa yako mpendwa wa mie kujikwamua kiuchumi... 
Ni rahisi mnoooo, unachotakiwa wewe ni kuwasiliana na mie kwa namba 0753 891 997 kwa message/texts ama kwa kupiga simu au kwa wassap ili kujua bei tutakayokuuzia wewe kama wakala ili ujipatie faida nono, pia ukiwa unakopesheka pia tunakukopesha, tena bila kuongeza gharama zozote ili  kukuwezesha na wewe uuze bei ambayo na sie GF MIN DEPOT ndiyo tunayoiuza.... Just like that mpenzi, ebu changamkia fursa kwa kuwa wakala wa Black Bee Gin upate pesa za kuendelea kula bata na uchumi huu wa ancle'magu... Mweee!!! hahahaaa, jocking.... ila seriously hii ni fursa nonoo na usikubali kuikosa... 
 Kizuri kula na nduguyo...na mie nina golden-heart so kama ivo nishawapa mtonyooo wa maana, kazi kwenu... Na ukisoma hapa ebu mshtue na mwenzako na yeye ajipatie pesa...maisha ni haya hayaaa!!!
 
Owky wapendwa, mpaka sasa tuna mawakala hao sehemu zifuatazo....
 Iringa mjini
-GF MIN DEPOT ambao ndio wakala mkuu, tupo opposite na jengo la ccm-mkoa... Hapa kuna special department kwa ajili ya uuzaji wa Black Bee Gin tuu...
-F STANDARD GENERAL COMPANY hawa wapo karibu na stend kuu ya mabasi yaendao mikoani
-ELIZA DEPOT hapo ni nyuma za jengo la ccm mkoa, karibia na depot ya bia za tbl (Kwa mwenda)
Mkwawa
-MARY SAMBALA DEPOT hapa ni karibu na chuo kikuu cha Mkwawa na jina maarufu kama kwa mama Clara
Samora
-KWA VUNJO duka lipo kwenye mzunguko wa nje ya uwanja wa mpira wa Samora
Ipogoro
-KWA MAMA MOSHA hapo ni opposite na stend ya Ipogoro
-MAMA NDIMBE COSMETICS hapo ni barabara ya kuelekea Kibwabwa
-DUKA LA POMBE KALI hili lipo ipogoro nyuma ya ofisi za mabasi ya sumry
Kihesa
-KWA NGWALE hapo utazipata dukani kwa Jema Ngwale, ni karibia na chamudindi pub
Mafinga
-KWA TITUS hapa ni duka la pombe kali Mafinga mjini
Kilolo
-YAHAYA BAR hapo utavipata kwa jumla na rejareja pia...

Mpaka sasa mawakala wa Black Bee Gin ndio hao tuu, bado hawajatutosha kutokana na demand ya gin yetu, na ukitaka kupata contacts za mawakala kwa sehemu hizo pia wasiliana na namba 0753 891 997 utapewa namba za wakala wa sehemu husika...

 
Bado tunahitaji mawakala mikoa mingine pia... Fursa ndio hii, what are you waiting for darling???!!! Toa oda yako sasa maana mzigo upo wa kutoshaaaa....
 
Where my Njombe people, Njombe nawatamani mnooo kufanya biashara na nyie... Songea na Mbeya kwa wakwe zangu mpoooo???!!! 
Kila kona ulipo, karibu tufanye business pamoja... Trust me,uta'enjoy!!!!

Na mkiona nipo nipo kimya wapendwa msiwe na wasiwasi, mjue tuu ni mambo za Black Bee Gin zimepamba moto maana lately tumekuwa na promotions and kuwatembelea mawakala wapya pia so muda mwingi nakuwa too busy... Ila nawapenda na i'll do my very best kutopotea huku sana maana without nyie siwezi kuendelea kuwa Gf....

Nawapenda mnoooo,
Till next time...
XOXO!!!

ITS ALL ABOUT EVE...

Hey all,
It's feels so good to be here again...Baada ya kimya kingiii chenye mshindo mkuu, i am back...kibabe kabisa!!!!
And leo it's all about Eve's engagement party... Yes dears,my Eve is officially engaged... and pia she is a bride to be so nipo mkao wa kula mie...(diet i am very sorry kwa muda)
Ila wapendwa wangu, Eve anapenda a private life so i'll do my best ili nisipatwe na mnuno wa mwendokasi... Ila she knows how dada'ake napenda kujishauaaa,lol... so nahisi nikizidisha atanisamehe tuu bure.. Ame vepeee??!!
Nianze kwanza kwa kutoa shukurani zangu za dhati kwa Mungu baba kwa kunipa wadogo wanaojielewa... maana kwa mashauzi haya wallah kuna waja wangeshani'mangeKimambi ila inshallah bado napetaaaa!!! Papa-God thank you oooh...
Pili nimshukuru mnooo Eve kwa kunielewa excuse yangu ya kushindwa kuhudhuria shughuli yake hii muhimu...kimwili sikuwa nae ila kiroho tulikuwa pamoja sana dear....
Tatu na mwisho naomba niwashukuru nyie woteeee, ambao mpo hapa na ambao mlikuwa mnachungulia huku daily kuona kama kuna new posts... Mungu wangu wa mbinguni awape haja za mioyo yenu...m'barikiwe sana wapendwa!!!

Baada ya shukrani sasa ni mwendo wa kujishaua, so naomba tuu kiroho safi kama leo upo out of mood tukutane tena kesho... Ila kama upo na stress-free mood ebu endelea kuwepo tujipe marahaaaa... Maana sitaki kesho tupishane na sura za ''utajijuuu''
Jamani naanza kufanya makusudi mie...naanza mashauzi yangu ya kistaarabu kabisaaaaaa maana hapo sikuhudhuria, ningeudhuria wallah mngenigawa bureeeeeeee!!!!
Ni ukweli wa waziwazi jamani nowdays ku-bebwabebwa kumekuwa habari ya mujini...yaani watu wanabebana tuu kama vifurushi vya taka, hakuna cha mahari wala cha kujionyesha mbele ya wazazi so ukimpata mtu akakuheshimu hadi kuja kukuchukua kwenu kwa heshima na taadhima aiseeee watakiwa kumshukuru mno Mungu...
Na tena sometimes waweza jifikiria na kusema bora hata hao waliopata wa kuwabeba beba...hahahaaa!!!
Unajikuta mtu hadi make-ups zinaanza kudunda usoni, maumivu ya umri yanaonekana waziwazi na hujampata hata wa kukubeba kimya-kimya, si waweza hisi una gundu... So narudia tena jamaniiii ni bahati na ni jambo la kumshukuru Mungu sana kuipata heshima kama aliyoipata Eve wangu...
Maana enzi zetu atleast ndoa zilikuwa nje njeee... Hahahahahaaa, where my age-mates at???!!!! lol
Kuolewa rahaaaa....tena raha sanaaaa, hata uwe bossylady zaidi ya Zari lazima kuna point you'll reach na kutaka uwe na someone to call hubby... Ujishaue na wewe na mumeo...na tena utataka kila mtu ajue una mume...hata awe ''jipu'' viiiiipi, still kuna part of you inayo'feel umuhimu wa yeye kuwepo... So wale ma'independent-ladies wa ''Ooooh mume,mume kitu gani wakati i can manage my life'' Weeeeeee...msiwaamini hata kidogo mwaya, maana hao ndio wapo ready hata kulishwa mavi ili waolewe, japo watoe tuu nuksi nao waitwe ''mke wa mtu'' na kwa wenye mashauzi ndio hao waliopo in the stage ya sizitaki mbichi hizi.... Poleni yenuuuu, endeleeni kumuomba Mungu maana yeye ni wetu sote!!!!
Na piaaaa...Every woman needs a man!!!Period...

So,Eve mpenzi natamani hata nisim'post shem'laa wangu huku maana dada zako ma'single ladies wengine wana technics za kijasusi katika kunyakua nyakua... Hahahahaaa... manyakunyaku mshindweeeee, mniwache mie nijashaue na shem'laa....
Ila nita'post picha zake chacheeee mnooo, till the big-day ndio nitamjaza kila kona ya hii blog... Kwa ruhusa ya wifeyyy to be lakini...lol


Kupendwa napo rahaaaa...
Maana anayekupenda atakuheshimu... Imagne hapo Kishumundu(Manyire) kwetu apo lakini shem'laa hakujali cha mavumbi wala manyasiiii....Kwa ridhaa ya moyo wake akaona to put a ring on it shurtiii goti lipigwe... wallah,he is a keeper!!! Ukimpata mwanaume kama huyu hata ufanye diet mwaka mzimaaaa lazima tuu idunde, so msije mlaumu Eve wangu kumuona ghafla kanifikia... Hahahaaa...
Mjue tuu hizo ni mambo ya mahaba zindekiii... Mahaba from mkata mkaa, hapana chezeiyaaa!!!
Now this is how my Eve looked... She nailed it!!!
Yaani alinoga big time....
Ndani ya Green Max-dress with silver glittered kwa kifua, matched with accessories and shoe...
The very simple make-up na kichina hair-style... In one world yaani ni BEAUTIFUL!!!!!
 
 
Dah, mutoto mutamuuu kama wali samaki wa nazi (In kabila la shem'laa voice) hahahahahahaaa....

Sasa mkutane na mpaniaji mwenzangu...yeye nae aliipania shughuli na akawepo... Hahahahaaa, our one and only Doctor wa familia... Doctor Deborah!!! 
Yaani ni alinoga as if kaniwakilisha na mie katika mwili wake...ni kama tumevaa pamoja eeee??!!Two in one... mimi na yeye wote, maana huko kupendeza kwake was too big for one person...
 
 
Ila JKT nayo shikamoooo... hahahahaa, ka'mwili bado katamu kama cake za Mama T aiseee... Ebu na mie nikazane na diet hadi siku ya wedding my mwili uwe katika mpangilio maalumu.... hahahahahaa!!
 
Yaani nikiwaga nasema hawa ni wadogo zangu, huwa it feels like i own a BOT wallahiii.... I am one proud dada alive!!!
 
 

Wadogo akee mie... Wakiwa na le'bff Janeth wa mie, yaani mlininyooshaaaa...Kila mtu kanoga dadekkkk zangu sasa nitawalipizia siku ya wedding... Uuuuwi, naanza tena kupania..hahahahaa!!!
 
Hapo sasa ndio a true definition of Beautiful with brain...
Warembo wanaojielewa...
 
 

Natamani ni'post picha nyingiiiiiii...ila duh, naombeni nyingine ziwe TBT maana after hii post kuna another post ni muhimu mnooo kuwa posted leo, soooo pleaseee naombeni nimalizie na hizo picha mbili tuu kwa leo atleast Baba na Mama mzaa chema pamoja na dada'Ruth wangu nao wawe wamewakilisha kwa leo... Nawapenda hawa watu zaidi ya vile ninavyojipenda mie... Unaweza mess'up with me na nikakupotezea tuu kiroho safiiii(ila ukizidisha kukupotezea ni ngumu) but you can never mess'up na hao (hata kidunchuuuu tuu) then nikakukalia kimya...That's me, that's my weak-point...My family comes first no matter what....
 
Eeeh Mungu asante kwa baraka nyingi katika familia yetu...

Stay here, i'll be back shortly...
Love you,
XOXO!!!

Saturday, August 6, 2016

FROM GFMIN DEPOT....

Hello dears,
Happy week-end to you all....
 
 This is a thankful note kwenu wote mnaoipa'support Gf Min-Depot, you guys are the best!!!! Bila nyie siwezi kuwa mie... nawapenda mnooooooo!!!
 
 Na kwa yeyote mwenye mahitaji ya vinywaji baridi(maji,soda,juice,energy drinks,etc) na vinywaji moto(spirits,whisky,brandy,vodca,gin) bila kusahau Wines na Shampen..please wasiliana nasi kwa 0753 891997 and tutayakidhi mahitaji yako ya vinywaji in a wholesale-prices...na huduma ya usafiri ni bureee kabisa kwa wateja wote waliopo ndani ya manispaa ya Iringa...
 Gf Min Depot - We are the best in town!!!
And msisahau kuwaa...
Mteja kwetu ni rafiki!!!





 With deep-love from Gf Min Depot...
XOXO!!!

Thursday, August 4, 2016

THE STRUGGLE IS REAL....

Hey dears,
Leo ni siku ya nne ya ile program yangu ya kupunguza mwili...duh, it's not a joke...wallah nakoma, the struggle is real...Ila it worth it!!! Maana nashindwa kupiga picha tamuuu coz najiona kibonge nyanya mnooo, pia natumia nguvu nyingi sana kuziweka swagger zikae on point...
 
The only time i remember being this chubby was nilivyojifungua my daughter... Yes, and the excuse was ''mie mzazi'' ''nanyonyesha'' hahahaaaa... 
But look at me now...duh!!! Mie i cant even tell where my kiuno is, my big-eyes sasa..kiruuu yamezibwa na mashavu kabisaaaaa na shingo ina mikunjo-kunjo as nataka kuwa na videvu viwili...hahahaaa, aiseee huu sio ubonge tuu, ni ubonge wa mwendo kasi... 98.4kgs and am not pregoo ata...yaani ni mimi myself and i tuu kgs zote hizo???!!! Zis is noti raiti kwa kweliiiiii.....
Aiseee hata iweje yaani i must kupungua tuu...hakuna namna, ingawaje my body is craving for sugar, yaani natamani soda and ice-cream hadi nadata...Uuuuwiii,jee ninavyotamani Ugali sasaaaa, kiruuuu...nime'miss ugali hadi ninavyoandika hapa nahisi ile harufu ya ugali flani iviii amazing unaungua kidogo iviiii na kitu cha hot-fire pembeni, chaaaaa!!! mate yananitoka... Hahahaaa...
 
Ila dah, sidanganyiki,this time hadi kieleweke... na tena from jana nakunywa na cabbage-juice to speed up the process ya kupungua uzito...so i am sure in seven days nitakuwa nimepunguza 3-5kgs inshallah!!!!
 
Still bado mwendo ni uleule...no sugar,no starch for a month... ni mwendo wa michemsho(eggs and white meat only) na kabichi za kutosha na matunda mengiiiiiii hadi nashiba... Plus lots of juice, fresh home-made juice...cabbage juice and buchirash...mazoezi kidogo...baaaasi!!!!
Heee, talking about mazoezi yaani hapa naumwa mwili mzima...Apo mazoezi ni only 30min a day...and nafanya mazoezi mepesi mepesi tuu kama kuruka kamba, jogging na set'ups kidogooo...ila in 30min nakuwa nime'sweat hatareeee!!! Kweli sikuutendea haki mwili wangu for kula-kula bila mpangilio...haahahahahaa!!!

Asanteni wadau wote tuliopo pamoja in this process... Thanx for ushauri, challanges na kero za kuongezeka uzito faster...its so nice sharing with you all personally...na'enjoy na kufarijika nikiona kuwa sio mimi tuu ninayeenda kula kula to calm-down myself when am in stress...and mostly napenda vile mnanipa ways to handle and kuepuka kula kula hovyo...And i am very sure hadi huu mwezi uishe lazima wote tuwe tumepunguza 10-15kgs...

Na wewe una tatizo la kula kula bila mpangilio???!!! Is that your way of handling a stressful situation???!!! Huendi unene unaokera???!!! Unahitaji ubonge-sexy na hujui how easy you can reduce your body size???!!!
 Worry out...Haupo peke yako my dear...Tupo pamoja!!! Gf yupo na wewe in the same situation, na sasa amepata njia ya kujitoa huko...ebu tutoke pamoja darling....
Let's chart kwa 0753 891 997,  normal sms/text pamoja na wassap only
(Dont dm me on my Insta account au usinitumie inbox kwa my facebook ac maana huko nilizilimbikiza za muda mrefu so zipo nyingiiii mnooo bado sijazisoma so ikiingia na yako huko kuiona ni kazi, but nikipata muda nitazifungua nizisome and nitajibu...ila for now tutumie my numbers tuu...and i promise you guys nitawajibu woteeee, inshallah)


And mnajua nini, nawapenda ile noumerrrr!!!
XOXO...

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT