PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Monday, December 18, 2017

TUENDELEA KUPAMBANA.... GOD GOT US!!!

Hi all,
It's a Blue Monday and its really so Blue over here...
Image may contain: 2 people, people smiling, selfie, closeup and indoor 
Leo napenda kuutumia muda huu kuwakumbusha, kuwapa moyo na kuwafariji wale wapambanaji wote wanaopambana kwa namna yoyote ile ili kuyafikia malengo yao...
It's about the end of 2017, ila kuwa mwishoni mwa mwaka haimaanishi ndio iwe mwisho wa kupambana, huu sio mwisho wa kuyatimiza malengo yetu, na wala sio muda wa kukatishwa tamaa...

Endelea kupambana mpendwa...na usikubali anything and anybody kukuambia kuwa huu ndio mwisho wa malengo yako kwa vile tumemaliza mwaka, no...mwisho wa mwaka huu ndio ukupe munkari wa kupambana zaidi ila mwanzo wa mwaka ujao malengo yoteee yawe mubashara!!!

Kumbuka zaidi kuwa Mungu anakuona na atakupa kwa wakati sahihi... 
Usivunjike moyo wala kurudi nyuma eti kisa umepambana mwaka mzima, from January na bado hakijaeleweka... No dear, mtafutaji hachoki.... 
Image may contain: 1 person, smiling, selfie and closeup 
Mie ni a living example kuwa mtafutaji hachoki... Maana pamoja na changamoto zote ninazopitia bado nipo stronger than ever before... I still wear that beauty smile from my mamaa siku hadi siku maana naamini God got my back...
Na hakuna litaloshindikana mbele za Mungu wangu... Sio madeni wala maradhi, sio maneno ya haters wala kodi za TRA, sio loloteee lile litaloweza nikatisha tamaa kuyafikia malengo yangu...
Yessss... i know i can, ni muda tuu utapita ila vyoteee vitakamilika and trust me, you'll all be here to witness!!!!
Image may contain: 1 person, closeup and indoor
Image may contain: 1 person, selfie and closeup
Image may contain: 1 person, selfie and closeup
 Amka sasa, pull up your socks and go to work... Usiwasikilize wakukatishao tamaa, usiangalie flani anasema nini wala anataka ufanye nini...Fanya kile ambacho una uhakika nacho na una amani ya moyo...As long as mkono uende kinywani, inatoshaaaa na maisha yataendelea!

 By the way that's all you need to do, and God will do the rest!!!

Have a Blessed week dears,
XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT