PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Friday, April 17, 2015

RIP SECKY....

Hi dears,
Leo nina huzuni jamani, najua mtakuwa mmesikia kuwa aliyekuwa mpenzi wa Lulu ( Secky = ambaye ni mume wa mtu) jana amefariki baada ya kuangukia meza ya kioo... Dah, too sad jamani maana jana was Lulu's birthday...
Jamani jamani jamaniiiiiiii... Why did he have to die siku ya birthday ya mpenzi wake jamaniiiii?????!!!!
Uuuuuuwiiii, najiuliza maswali yasiyo na majibu hapa hadi natetemeka... I am so sad for real...
marehemu Secky hapo akiwa na Lulu...

Yaani wote mnaonitumia informations za hii issue, asanteni sana kwa taarifa ila kiukweli mie sitaki kabisa kuiongelea hii issue kabisaaa maana imeniumiza utadhani nimefiwa mie.. Please, nawaombeni tuiache hapo, tuiache tuu kama ilivyo... Maana taarifa ni nyingi jamaniiii, kila mtu anasema lake, tuache jamaniiii inaumiza....
Marehemu Secky hapo alikuwa na mke wake..

Dah... Die too young jamaniiii... Rest in peace Secky..
Pole sana mke wa Secky, pole sana Lulu, poleni pia wote mlioguswa na msiba huo!!!


Bwana ametoa na Bwana ametwaa,
Jina la Bwana na libarikiwe..

XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT