PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, October 14, 2014

HAPPY BIRTHDAY MY LOVENESS...

Dears...
Huyu m'dada mrembo anaitwa Loveness, ni my friend, tupo pamoja tokea enzi hizooo za ki'toto totoo, tulisoma pamoja Arusha Sec School, We had our ups and downs but one thing for sure ni kwamba tunapendana asikuambie mtu.... Yaani apa ni piga ua kabsaaaaaa... Love u shooo!!!!
She is my great supporter wa Gf-Boutique, kwa my facebook friends lazima mnamfahamu na wote mnaoifahaumu Gf-Boutique ni kwa sababu ya uwepo wa Loveness, ingawaje recently tumekuwa na mambo mengi, ma'biashara kibao pia yamezaliwa out of Boutique so tunayalea lea nayo yawe makubwa eeh... Ila bado tupogoooo... Gf-Boutique forever baibyyy!!!!

Na leo amezaliwa shoga'angu huyu... May all the good things comes your way love, Mungu akupe maisha marefuuuuuuu.... Tuendelee kuzisaka pesa hadi kieleweke mwaka huu mamito...


She is one of those people ambao hata nikikurupuka usiku wa manane and I need help nina uhakika 100% na positive reaction, kwa makubwa na madogo tupo pamoja, kwa raha na karaha pia hatuachani... We belong to each other and we got sisters bond... Hakunaga G bila L... Dah, shoga'angu mie, lazima tuirudie when am arround tukate Cake aisee....

Yaani na maneno yangu yooootee imagne leo sina hata cha kuandika tena.. Hahahaaa, am speechless, ila najua one thing for sure which will cover kila kitu ni kwamba... Nakupenda rafki yangu!!!


Happy Birthday mamy'akee Collintols...



Happy Born Day Loveness...
XOXO!!!

2 comments:

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT