Nimekuwa toooooooo busy But nina kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kila jambo, naamini ananiwazia mema zaidi ya yale ninayojiwazia ama anayoniwazia mwanadamu yoyote...
 
 And naamini after this hard-work kuna siku nitajipatia bongeee la vacation...cant wait!! #HardWorkPays #ThankYouJesusForMyLife
Mawazo ya Mungu sio sawa na mawazo ya mwanadamu!! 
 
 
I love my life...Sometimes it gets hard, tiresome and too busy but naamini hata dhahabu lazima ipitie kwenye moto ili ing'ae vizuri.. #MimiNiDhahabu   
 
 
 #GodWin
 
 
Mimi Ni Dhahabu... 
 
 
God win... #Mipango ya Mungu itimie maishani mwangu!! 
 
 
 Neema na Baraka za Mungu zimiminike more and more!!!

I feel the blessings.... 
 
 
Love you all... 
XOXO!!! 
 
 
  
 
No comments:
Post a Comment