PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, November 24, 2015

WHO WIN THE JUMP'SUIT??!!

Hey all,

Dah...When i say hapa ni stress-free zone, this is exactly what i mean... Hahahahaaaa...kiukweliiii mnanipa raha sana, duh...hadi naogopa ku'post picha nikiwa nimesimama....hahahaaaaaa!!! Kwani kitambi vepeeeeee???!!!
Watu mnapenda kunipa ma'baraka jameniii, dears if baby number three is on the way yaani wala msiwe na pressure maana hizo mambo mbona hazifichikagi... And mmenisahau nilivyo na hamu ya kupiga picha kama za wifi Zari... Hahahaaaa, you all relaxxxxx.... hapa nimeshiba tuu so story za kitambi changu naombeni mziache ni'deal nazo polepole... hahahaaaaa!!! Muendelee tuu kunitumia messages about who Gf is ili uweze kushinda Jump'suit (See previous post)
 
Nobody but God....
 
Blessed beyond words...
Mama'akee F-Babies...
I should name ''baby number 3'' Flower eeeh??!!
Coz am praying for a baby girl... Mwaka 2018 lakini...
hahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaa!!!!
 
Haya sasa, who will win the Jump'suit??? 
Kwa wale walionitumia majibu kwenye comments za facebook and Instagram sijaona haja ya kuficha majina yao coz the comments was open... Ila kwa wale wa Instadirect, sms na wassap nimeficha namba zao za simu...

Hizi ni baadhi tuu ya messages zilizonielezea mie ni nani???!!!
Unahisi nani apewe Jump'suit hapo???? 
Hahahaaa... ukijieleza vizuri hata kikoti pia kinaweza kikahusika...
But necklace my dear, mmmmmhhhh.....

Hawa ni (N) and (I)
Mmmmmh.... aya bana!!! Eti kweli huyo ndio Gf mnayemjua??!!!
 Wengine wababe jameniii...hata hamtoi maelezo mnataka tuu niwatumie...hahahaaaa!!!
(J)


Unahisi yupi kanielezea fairly kati ya hao watu saba????

Ni Maria Chenelo???? Ni Evehenry48???? Ama ni (N) aliyemalizia kwa kama sasa mie mjamzito??? Ama ni (I) aliosema mie mkali sana??? Ama ni Columba aliosema yeye nimpe tuu bure bure??? Ama ni Pendo aliosema nimuwekee tuu hako kanguo????
 Ama (J) aliesema naamini kwenye mapenzi ya dhati???

Dah...kiukweli bado nashindwa kuchagua mshindi... Ebu nisaidieni hadi apo.... Ama tuendeleee kidogooo eeeh???

Nahisi bado tuendelea kupokea messages ili tuchague kihalali... So bado na wewe hujachelewa, wee tuma tuu message na unielezee Gf ni nani??? (kwa maelezo zaidi soma post ya jana) na ushinde ile jump'suit....

Nawapenda sana sana sanaaa!!!
XOXO!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT