PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, December 20, 2016

TIME BEFORE TODAY....#F-BABIES-DIARIES

Dears,
 Image may contain: 4 people, outdoor
Si mnajua how napenda picha eee... basi hadi sasa my phone ina picha zaidi ya elfu saba, naona imekuwa too slow so nikawa nazi'delete nyingine... sipendagi kufuta picha kabisaaaa,ziwe mbaya au nzuri mie huzitunza ivo ivo, hizi leo nimeweza to delete them maana nimeshazi'save pia kwa my p.c and external drive...ila still roho inauma kuzi'delete... Hahahaaa, maana zikiwa kwa simu ndio nakuwa na easy access nazo more... Ila hakuna namna, ni nyingiii sana for my phone!!! 
Katika ku'delete picha nikaona hizi before sijazifuta ebu nizi'post tena hapa... Nyingi najua nilishazi'post here some years ago ila sio mbaya kujikumbushia some sweet and beautiful memories of my F-Babies... Most of their pics are just too sweetttt jamani... 
 Image may contain: 1 person
Ebu waone hapo...too sweet!!! Faith anadeka kwa kaka'ake... lol' Ila kuwa na watoto raha sanaaa, ebu nifanye faster niongeze baby number 3 na 4 soon... hahahahaha 
Image may contain: 1 person
 Aaaaw...look at her!!! Faith wangu, fashionista tokea anazaliwa...enzi hizo ndio style ya kuvaa chain kichwani imebambaaaa...lol
Image may contain: 1 person
Ila mnakumbukaga how mwanangu alikuwaga hapendi kucheka???!!! Kiruuuu, yaani Faith alianza kucheka sijui akiwa almost three years...Hakuwa analia pia,yaani she was a happy baby ila kucheka tuu ndio alikuwa anaona mnamzingua...hahahahaa!!! Hata awe happy vipiiii...sana sana ata'smile tuu kidogooo then ata'put iyo serious-face ya baba'ake muda woteeee..hahahahahahaa!!!!!
If akiamua kucheka basi nyumba nzima tulikuwa tunashangilia,mie ndio nachukua camera fasta au simu nimpige picha, yaani vile tuu tumeshangilia Faith kucheka na yeye ananuna zake...lol alikuwa anatunyooshaaa...
Na ukijishaua sanaaa kumchekesha anaweza akakuangalia tuu hadi ujione kituko...lol
Image may contain: 1 person, smiling, sitting
 a baby girl in Pink...Hahahahaa, Faith wangu mie!!! Apo ukimtoa cheni yake ya kichwani ndio utajua why yupo na serious-face most of the time...hahahahaaaa!!!! alikuwa mkali jamaniiii, yaani hakubali kushindwa, na kulia kwake was the veryyyy last option...atapambanaaa hadi aone sasa kweli imeshindikana ndio alie...lol, alikuwaga anatuacha hoi...
ila katika suala zima la misosi..mashallah!! mwanangu was the besttttttttt....
Image may contain: one or more people
Image may contain: 1 person, baby

Image may contain: 1 person
 Kibonge wangu... Hapo alikuwaga mweupe peee...i almost think kuwa Faith atakuja awe mweupe zaidi yangu...ila still ni mweupe zaidi ya Fred Jr...
Image may contain: 1 person
Image may contain: 1 person
Hahahahahaaa..i still remember taking this picture like it was yesterday..lol, apo tumem'bembeleza anipe saa yangu kagomaaa, ndio anaila jamaniii... and alikuwa ana sehemu zake za kupenda kukaa... hapo mezani and kwenye two angles za kochi moja..lol, akikuta mtu kakaa anamtoa...
Image may contain: 2 people, people standing
Hahahahahahahahahaaaa... Eve na my hubby sorry kwa hii #TBT ila mlikuwa watamuuuu, wadogooo...hahahahaa. Apo my Faith alikuwa anabatizwa... #MtotoNdaniYaKristo
 
Image may contain: 1 person, standing
 Hapo amejua kutembea sasa...weee, kilikuwa kipindi matataaa maana usipomuona dakika sifuri tuu ujue utamkuta anafungua mageti aende barabarani...
Image may contain: 2 people, people standing
Fred Jr and Faith... My F-Babies katika ubora wao...
Image may contain: 1 person, sitting and food
 Was her birthday...apo alikuwa 2years kama sikosei...busy mwenyewe na cake yake!!!
Image may contain: 1 person
Heee,if mnaikumbuka hii picha jamani nilii'post kila kona...hahahahaa..Picha ya mwanangu akiwa amecheka, dah!!! Apo aliyeibahatisha hii picha ni baba'ake... Yaani alikuwa anajifanya walaa hampigi picha, wanaongea tuu..kumbe anamvizia achekee...hahahahaa, tulikomaa nakuambia iyo siku, maana hubby alijisifia huyooo..kupata picha ya Faith akicheka,lol was like sijui ume'hug na Obama...hahahahahaaaa!!!! so kila mtu unamuadithia...hahahahaa... 
Image may contain: 1 person
 Basi tukajua kumbe Faith alikuwa hapendi kushobokewa...#HatakiShobo
Image may contain: 1 person, standing
So ukitaka umpate picha akiwa anacheka wee jifanye mnaongea zenu tuu then unampiga picha bila yeye kujua..tena camera isiwe na flash,coz akigundua tuu ananuna zake...

Image may contain: 2 people
Tumetoka mbaliii na vinywele vyetuuu...apo amekuwa kua, hadi nimeanza kumfunga vimdoli mdoli kichwani...hapo sijui ata kusuka yaani navifunga tuu na hair band...

Image may contain: 2 people, closeup
 Fred and i... Apo tulikuwa tunafanana hatareeeee!!! ila my son ni bongeee la handsome...
Image may contain: 3 people, people standing and shoes
Look at him in the middle,lol... With Henry and Nicole
Image may contain: 2 people, people sitting and outdoor
 Hahahaaa, Fred wangu with aunty P...lol, tumetoka mbali jameniiii
Aunty P we miss youuuu!!!
Image may contain: 1 person
Apo mwanangu alikwea pipaa... Arusha Dsm iyo enzi zetu!!
Image may contain: 1 person
Fred at J.K.N airport... Safari ya Dar Mbeya iyo.. Apo kamwanangu kamezoea zake baridiii la Arusha yaani masaa machache tuliyokuwa tunasubiria ndege lile joto la Dsm lilimnyong'onyeza hatareee...apo kasimama kabisaaa kwenye ac...hataki utani hadi kaikumbatia...chezea mnyalu wangu mie..hahahahaa!!!
Image may contain: 2 people, people standing
Fred alipoanzaga kumfundisha mtoto mautundu hadi ya kuendesha baiskel, dah!! Growing up with a brother ni rahaaa... 
Can you believe sasa ivi hawa ni watoto wakubwaaa kabisa na kazi wananisaidia, dah!!! Asante Yesu wangu...

Image may contain: 1 person
Fred Jr is with his super-hero na Faith is with her first-love!!!
Best dad/father...mume wangu...my son's hero...my daughter's first love... Ila ni wa kwangu!!!

Dah...picha bado zipo nyingiiiiiii.... Ebu nyingine tutaendela kukumbushana mwakani, ama nenee???!!! God willing... 
Hope mme'enjoy all the beautiful memories of my F-Babies!!!

 Love you all,
XOXO... 

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT