PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Thursday, September 1, 2016

MY DIET UPDATES....

Hellow dears,
Happy New Month...
Hope mnakumbuka kama last month nilianza kufanya diet... Nilijitahidi mno kuwa serious the first two weeks, ila hizi wiki mbili za mwisho wa mwezi wa nane aiseee nilichemshaaaa... And yote hiyo ni kutokana na mazingira niliyokuwa nafanyia kazi kwa hizi wiki mbili za mwisho... I had lots of Black Bee Gin promotions and always places nilizokuwa nashinda ni za vyakula vyakula... yaani nakutana na nyama choma matata hadi uzalendo unanishinda... And my team wote ni walaji wazuri..hahahaaa, so i was sooo tempted... Ila still nilikuwa najitahidi my best kuendeleza my diet, na'cheat siku moja moja and my schedule was too tight for mazoezi pia so gym pia nilikuwa naenda twice a week(Tuesday & Thursday only) coz hizo ndio the only days huwa naweza kuwa free na my personal things...siku nyingine zote ni za kibiashara tuu na Sundays ni siku za kumkumbuka Muumba wangu... 

I started na 98.4kgs....
 Baada ya two weeks nikawa 95.1kgs.....
 
   Dah...asikuambie mtu how nilikuwa proud of myself...Maana hizo siku za mwanzoni za diet huwaga ndio the hardest kupungua, na ningeendelea kuwa serious yaani ningepunguza kweli 15kgs in a month...Ila sasaaaaa, mambo za black bee gin si zikaingilia kati my diet...lol.. Nikaanza ku'cheat sasa diet yangu...
 
Na hapo ndipo nilipo... 94.2kgs.... Kwa mwezi mmoja nimefanikiwa kupunguza only 4.2kgs.. Duh, this is not fair...kujinyima kote hukuuuu...
So, na mwezi huu pia bado naendelea na diet... Ivo ivo hata nikiwa na'cheat kidogo ila as long as naona improvements kidogoooo basi ngoja tuu nikomae...May be mwezi huu naweza punguza hata 5kgs inshallah!!!

Hongereni sana woteeee mlioweza kupunguza kgs nyingi zaidi yangu... Mmetisherrrr sana...
Na kwa wale wenzangu na mie wa less than 5kgs pia msikate tamaaa mpaka kielewekeeee... Hapa kazi tuu,ama neneeee???!!!
Ila kupungua napo pagumuuuuu.... Hahahaahahaaaa


Nawapenda sana!!!
XOXO...

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT