PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Thursday, September 29, 2016

POVU VEPEEE.... #PANIC AT YOUR OWN RISK

Dears...
One thing about me ambacho wala sio cha kujishaua wala cha kujisifia...yaani ni kitu very true about me ni kwambaaa...
Mie ni mtu mmoja peace sana, yaani napenda kuwa na amani all the time, na hivyohivyo napenda kuwa chanzo cha amani to everyone... As they say vile upendavyo kufanyiwa ndivyo uwafanyie na wenzako...That's me!! so ukiona mie mpaka naamua kuongea vya kukukosesha amani wallahy ujue yamenifika hapaaaaaaaaaaaaaaaa shingoni kabisa!!! And trust me yaani sipendiiiii, ila inanibidi tuu maana hakuna namna yaani i must talk tuu....

And before hatujaenda mbali pleaseeee,unajijua una pressure yako ya kushuka ishia hapa before hatujasababishaina mengineee... Maana mie hadi niongee kitu yaani nipo 100% certain na nikisemacho na ndio maana sijawahi futaga post...Once umeona nime'post ujue nina uhakika na najiamini mia ya mia na i am very ready for lolote litakalokuja after iyo post... Yaani najipanga haswaaaaaaaaaaaa...so sipendi kutishiwa nyau... As nilishawahi sema before, this is my blog... nobody can nipangia what to post here... labda yaani tena ni labdaaaa naweza tetemeshwa tuu na mume wangu about my posts... And to him only ndio naweza jielezea zaidi about my posts so you better take your pressure pills and relax maana i am about to start.......
Picha za Faith zinahusiana na post hii since leo my fashionista alimtoa mtu povu kwa vile alikuwa in her ''hair-relaxation'' mood... 
I call it ''hair-relaxation'' mood maana sio kawaida ya Faith kubaki na nywele zake ivo tuu for days, huwa nikimfumua leo namuosha, i blowdry her and kumsuka on the same day... na hata kama akiwa na place anaenda akiwa amezibana yaani akirudi home jioni lazima nimsuke... As mnaona her hair is still natural so akilala nazo ivo next day hata kuzichana tuu inakuwa kasheshe... But hizo apo nilikuwa sijamsuka leo was siku ya tatu..(Ingawaje sasa nimeshamsuka)...
And this post is not kwa vile nilishasemaga mie cheza na mimi but don't touch my family.... Noooooo, this post is about me trying out kuelezea na kuonyesha tofauti ya nywele rough na nywele zinazopumzishwa...
Coz if it were about me posting here kwa kumsema vibaya my baby wallahy nakuapia hata usingeweza kuamka kesho asubuhi kwenda kazini...i got tonnes of shits za kukuambia na ujione upo uchi hata ukiwa ndani ya hijab... Ila let's save all the drama and nikuelezee tuu kuwa leo ulivyomuona Faith na nywele zake ivo, ni kwa vile sometimes kichwa kinahitaji kupumzishwa, na nywele natural (safi ofcoz) haziwezi kunyooka as zimetiwa relaxer so ulivyoenda kujiongelesha kuwa Ooooh Gf mashauzi na mwanae wakati manywele yapo rough sijui manini nini mwenyewe wajijua mapovu yalivyokutoka...mamaa koma, tena ukome haswaaa maana Faith sio size yako hatarobokwake wewe huwezi ingia... Sijisifii ila huo ndio ukweli, wewe na ukoko wako wa kichwani tokea umenunua wigi moja(lenye mabawa ukivaa kama unapeperuka) kutwaaaa kulivaa hilo-hilo kama wewe huachagi kichwa kipigwe na upepo shostiii basi leo naona upate somo through Faith... Mwanamke shurti kichwa kipigwe na upepo mara moja moja...
Kwa taarifa yako hao ulioenda kuwapa povu lako ndio kutwa wanalalamika uvundo unaowatolea ofisini... Hahahahaaaa!!! walihisi labda hujui kuoga fresh, ama hujioshi ukatakata...kumbe tatizo laweza kuwa uvundo unachangia na kutokuosha kichwa,kurudia wigi mwezi mzima bila kuachia kichwa kipate hewa... Hahahahaaaa, yaani nacheka kama mazuri,,,duh!!!
 As nimesema ni hiviii...Leo najaribu tuu kuelezea tofauti ya nywele rough sijui kitimu timu na nywele chafu zenye ukoko na uvundo... Faith pamoja na kuwa ni mtoto lakini when it comes toher hair hadi watu wazima wanampigia saluti...
Hasukwi wala haoshwi nywele zake salun ila hair products zake ni shikamoooo... Na mie sio kujishaua ila kila mtu ni shaidi kuwa i know how to treat her hair right... tena nikimsuka walaaa hutaamini kama ndio kwanza nimejifunzia kusuka kwenye kichwa chake...
Aya....wewe secretary mzima mara yako ya mwisho hata kuosha nywele zako na shampoo ya buku jero ni lini????!!!!!!!
Maana mapovu yalivyokuwa yanakutoka i am very sure kichwani kwako bado lilikuwepo wigi lile lileeee la kipepeo dot com... Aya, nalo mara ya mwisho kuli'treat ni lini????!!!!! Au hujui hata kama wigs pia should be treated... maana hata hilo la bei ya nyanya latakiwa liwe linafuliwa shostiii...ila usije panic ukalifua then ulikaushe na drayer mama, hahahahaaa....maana litayeyuka kama mfuko wa rambo ukidondokewa na kaa la moto...
 
Let's make things short and mie niwe clear tuu one thing... No matter what's going on in your life, no matter how life treats you and no matter how misserable your life seems to be..Never never never ever tolea stress zako kwa mtoto, tena kwa maneno ya uongo tuu ya kumchafua... Ni ushauri tuu na sio lazima uufate!!!
Ila siku nyingine waweza nikuta na zile akili zangu za kichokozi mie nikaanza hadi elezea hapa how your hubby alivyodondoka juu ya meza akipanda darini kuficha naniiii...nimalizie???!!!!.....naniiii!!!...hahahahahaaa... Bahati yako leo sipo na hizo akili... leo sitaki kukukosesha amani kabisaaaa, i only want to make things clear...
By the way, Your trick was very nice...Ingawaje mie nilishakusahaugi mudaaaa, ila that was the very best way ya kujaribu kuninyima raha leo, ila ume'fail...Yaani hujafanikiwa hata toneeee...sana sana unataka tuu nikuaibishe na mie sipendi kukuaibisha shostito wa mie....
Alafu unajua wewe una akili sana, sasa why upogo kama punguani most of the time??? Maana now umeijua weak-point yangu, that's sooo brave...umejua pa kunitikisia ni upitie through Faith,roho yangu mie, mwanangu wa dhahabu.... ila tuu one thing ni kwamba, umekosa la kunitetemesha...nywele rough??!!!Kitim-tim sijui hazijachanwa....Hahahahahahahaaa.... Iyo ni style ya ki'super-star ya kukipumzisha kichwa mamito if you didn't knew... Sasa ebu jaribu kingine labda, ila iyo ya nywele aiseee...Hapanaaa, na a true definition ya kitimu timu ni wew, if you dought it ebu jiangalie kwenye kioo kwanza...maana kioo hakidanganyi mama!!!
 I can not tell you uachane na Faith au umkome, ila nakushauri tuu sasa utafute something relevant ndio uje with facts... Yaani uje na bomu ambalo mie mwenyewe nikilisikia lazima nidateeee, lasivyo don't ever thing of kuhamishia stress zako kwa any member of my family tena maana sasa i will take that personnaly...
Na sintakuwa hapa kuweka mambo clear ila nitakuja to show you the real definition of being over protective kwa familia yangu...
You can play with me vyovyote upendavyo and sintajali walaaaaaa,ila never ever rudia tena to play with my family member yoyoteeeeeeeeeee!!!
I mean it madam-secretary wa boss...
 
 
 
 The very good thing i love taking pictures so hizi picha nilimpiga Faith before hata sijazisikia hizo povu... Looking at them now najiambia mbona my girl wa rocking ivo na kiduku style yake ya kishkaji... Au ushamba??!!! Hahahahaaa... Maana pengine my shogaa-uyoga yeye ni mujanjaaa, mie na u'kishumundu wangu apo nilijiona mwanangu ka'rockkkk like Blue Ivy ama North Kanye West...hahahahaaaaaa... kumbe kamtoa povuuuu my shogaaaa!!! hahahahaaaaa...
 
Aya buanaaa... mie ni kama vile ndio stimu za kuendelea kuwepo hapa zinazidi... Ila nina majukumu mengine wapendwa wa mie, so nijikaze tuu kuishia hapa... Wale wa ku'panic ebu m'panic tuu at your own risk maana hakuna namna...Ila tuu msisahau one thing which will never ever change between me and nyie ni mapenzi yangu kwenu... Nawapenda mnooo, wote...

Till next time,
XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT