PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Thursday, November 24, 2016

FEELS GOOD TO BE HERE....

Hey my dear,
Yaani leo nimekaa kusoma all the comments from my social-media accounts, all the inbox and direct messages...and nimezijibu almost zoteeee... Kiukweli na'appreciate the love i get from you people....mna mahaba ya mwendo kasi, hahahahaaa!!! 
God bless you all...
Katika kujibu pia naomba tuu mnisamehe niliowakwaza and mlionikwaza pia consider yourself forgiven!!!
Some messages, hasa hasa zile za kuomba ushauri na zile za fursa za kujitafutia pesa huwa zinanitamanisha niwe nazi'share hapa ili watu mtoe ushauri in general and mkamate fursa...
So nimeona kwa vile mwaka ndio unaishia ishia ivyooo....wacha tuzifanye hizo ziwe goals zetu za 2017...
Let's set the goals pamoja, tena mapemaaa ili ikifika tuu 2017 basi tuwe ni kuzifanyia kazi... Hope next year tuwe na day special kwaajili ya kutoa ushauri and kupeana mawazo ya life... Ama vepee??!!

Iyo ipite au isipiteee???!!!! Waiting for your ideas wapendwa wangu... Si mnajua bila nyie mie sio Gf eeeh.... basi nasubiria mawazo yenu....
 
Can not simama for the picture maana nimekuwa too kibongeee...hahahahaa, but my hair did me wonders!!!! Nywele tamuuuu....from Da'Ruth wangu... Anaziuza and anazishone, yaani unanunua hapo hapo na unasukwa apo apo...tena kwa veryyyy affordable price... Unatoka umependeza na full upako juu...hahahahaaa... Ni'check 0753 891 997 nikuunganishe nae...Kwa wale waliopo Arusha tuu ndio watapata huduma ya kushonewa but kwa wale wa mbali anatuma wivings na wigs, zote originals na za kawaida... Follow her on her Instagram page ili kujua zaidi @ruthhenry81

It's always too good to be here...


Lovely Thursday My Darlings...
XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT