PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Saturday, July 1, 2017

THE RETURN OF GF & THE F-BABIES...

Hi all,
Dah!!!! nakosa hata neno la kuwaambia for real, maana hii ni zaidi ya kuwa'miss...
Kiukweli nimewa'miss too much, mnoooo...i missed being here and i miss everything about us...Na my F-babies pia wamewa'miss sanaaaaaa!!!

Image may contain: one or more people and shoes

I am really sorry kwa kupotea bila hata ya kuwaaga, i am very sorry wapendwa wangu...
Ni story ndeeeefuuuuu sana ambayo i wish niwaadithie now but msijali, time will tell and kuifupisha tuu for now ni kwamba nilipumzika ku'blog kwa muda kutokana na mambo mengi mengi tuu, i just had a lot in my plate for the past two or three months ila sasa alhamdulullah nina muda wa kuwa na nyie tena..

And for those who thought nimeacha ku'blog you better take some several seats, coz i am here and will be here till the end of time...hahahaaaaa, hadi ''sponsor''a.k.a my hubby anikataze labda...and najua hawezi, labda anipe tuu ka'likizo kafupi then narudi back to the game as stronger as never before!!!!!

Image may contain: 1 person

Image may contain: 1 person

Pia napenda kuwashukuru sana wote ambao tuliendelea kuwa intouch kwa kipindi chote nilichokuwa offline, you guys are the realiest team Gf, Kwa wote pia tuliokuwa tukikutana Instagram aiseee mlitisha sana... Nawapenda upendo mkuu!!!

And, mnajua ni nini??!! I am very back, na sina plans za kupotea tena any time soon...so mkae mkao wa kula tuu ubuyuuu, coz tutaenda sambamba sasa almost kila siku kutakuwa na new post, ama vepe??!!!

Na msisahau kuitana eee, hahahahahahaaaa....raha ya mdundiko tuucheze wengi buanaaa, kwani nani hataki kujua Gf alipotelea wapi all that time??? pengine kweli ''sponsor'' alimpiga stop ku'blog, hahahahaa, au labda alifuliaaa so akapotea ku'maintain status, hahahaa..chezea magu wewee!! au labda kunayo ya zaidi nyuma ya kupotea huko... 
You just stay here, coz hapa ndipo the only right place where you can get ubuyu wa ukweliiii about Gf, huko kwingine watawapeni story za kusadikika tuu...
Image may contain: 2 people, people smiling, people standing and shoes

I am back, tell a friend to tell a friend kuwa the GF is backkkk!!

Image may contain: 2 people, people smiling, people standing and shoes


Nawapenda Sana Wote,
XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT