PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Wednesday, July 5, 2017

NIYAANIKE MWENYEWE TAFADHALI, NI MAISHA YANGU...

Hey beautiful people,
 Image may contain: 1 person, selfie and closeup
Mie nipo super fine... Asanteni sana kwa kurudi katika blog yetu kwa speed, that's major-love kiukweli maana for only two posts(ya juzi na ya jana) almost 60% ya previous viewers wameonekana, dah!!! nimefurahi ki'ukweli...maana nilijua kwa vile nilivyopoteaga may be inge'take more than a month for viewers kurudi, kumbe mlini'miss eeeh??!! Hahahaaa, i missed you all too...
Image may contain: 1 person, selfie and closeup
Ila sasa, kwenye msafara wa mamba buanaaa kenge nao hawakosekanagi...
Mapema yote hii and still wapo wanaoanza choko-choko huko badala tuu ya kuja kwangu straight kuniuliza, jamaniiiii... nilishawaruhusu, if kunae mwenye swali ebu awe mwenye kujiamini tuu na kuniuliza mie straightttt...coz mie ndie mwenye majibu ya uhakika, huko kwingine utapata tuu majibu ya kusadikika...na pengine yasikuridhishe... Feel free darling, niulize tuu mie mwenyewe... chochoteee kinachokutatiza ama unachotamani kukijua kiundani zaidi about me,niulize mie mwenyewe...
If huna namba zangu basi ni 0753 891 997, ama tumia njia nyingine yeyote kuniuliza ila usije na maswali ya eti nimesikia, ama eti nimeambiwa...Nyoooo!!! Usikie kwa naniii??? Akuambie naniiii??? Style up darling ones...
Mie ndie niliyeamua kuyaanika maisha yangu, niliamua mie mwenyeweee so sitaki kusaidiwa buanaaa...wacha niyaanike maisha yangu mwenyewe no matter yapoje...
 Image may contain: 1 person, selfie and closeup
Asanteni kwa kunielewa na piaaaaaa, kama kuna bi.shostie bado hajajua kuwa i am back, ebu mshtue aje na yeye asipitwe buanaaa...coz nowdays naona viewers wengi ni ''males'' kwani kunaniii???!!!
Ama ''females'' wenzangu bundle tatizo??? Hahahahaa, ya kawaida tuu hayo mwaya, msikate tamaa...maisha ni haya hayaa!!! Ebu itaneni tutoe stress buanaaa.... hapa si ndio ''stress-free zone'' na nawaahidi mta'enjoyyyy....

 Nawapenda sanaaaa!!!
XOXO...

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT