PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Thursday, October 27, 2016

DOCTOR WA KISHUA AND I....

Hellow lovies,
Sorry wajameni kwa kuishia njiani jana... dah,nilichokaaa maana picha za bwana na bi arusi ni nyingiiii mnooo and bado naendelea kuzi'arrange fresh...So leo nimeona tuu niwaletee hizi za me and doctor hadi nitakapomaliza kuzi'upload za maharusi wetu... 

Tuiite hii post ni ya Doctor wa kishua and I katika ubora wetu... Ama nenee???!!! Maana hapo tulikuwa tuu katika mashauzi yetu, zile picha za ma'brideladies  apo bado nazi'upload...hahahahaaa!!!

Enjoy....
My partner in kujishaua is fireeeee!!!! Doctor wa kidigital huyu aiseee, huyu ni never seen before... Khaaa!!doctor anaielewa makeUp kama make up artist... Doctor mrembo kama vile anasoma Arts subjects, huyu sasa ndio the realiest Beauty with Brain girl
 
Doctor wa kishua akinifundisha pozi za selfie...lol
 A million dollar smile!!!
Yesss... that smile tells it all... Nilikuwa happyyyy that day jamani...siwezi hata elezea how happy nilikuwa maana ni zaidi ya maelezo yaani...Only God knows vile happy nilikuwa....
 
 
 Naishiwa hadi maneno ya kumuelezea huyu doctor jamani... maana nikiongea sana inaanza sound like nawaponda au nawasema vibaya madaktari wengine...wakati hilo sio lengo langu, na wala simaanishi kuwa madaktari wengine ni wabaya au hawajielewi... Noooo, madaktari msininukuu vibaya,nawapenda na nawaheshimu balaaaaa...can't say bullshits kwenu maana na'imagne how tough mmepita kuwa hapo mlipo... Huwa na'imagne tuu how masomo ya science yalivyo then nikiwaza mmeyapita yote hayo kuwa madaktari aisee nawapa salute!!! Maana mie high school nilisomaga EGM wallahy nilikuwa nachizika na pure maths...Economics and Geography tuu ndivyo vilikuwa vinanipaiza....sasa nawaza wale waliosoma Biology,Chemistry and Physics...Kiruuuuuuu!!! Nikiwaza tuu ivo siwezi ata wa'diss ata msipochana nywele wiki nzima aiseee nitawaelewa tuu...hata mvae nguo hazijapasiwa pia nitaona tuu sawa maana naelewa akili zenu zipo too smart hadi hamna muda wa kuweka mwili nao uwe smart... Ila kama wewe mwenzangu na mie wa biashara au Arts aiseeee, nitakusema tuu mpenzi, hakuna namnaaa...tena ukiwa wa vi'course virahisi rahisi kama u'sekretary wallahy ndio utaona blog yangu chungu maana usipokuwa smart,uwe mchafu mchafu tuu, Ooooh mie na wewe hadi ubadilike..... Hahahahahahahaaa!!!!
Ila mie nae ni kachokoziiiii sometimes...lol, ila siwezi kukuchokoza tuu kama hakuna sababu... 
All in all ni kwamba, i only wish muelewe how Debora  alivyo in her real life... She is just a DisneyLandQueen, yaani that ka'girl who take trouble kuwa na pink-stuffs (vile wanasema vitu vya pink are for baby girls) na ni msichana anayependa u'babyshhh flani ivi, kuwa na teddy-bears(wadoli) arround, to put flowers in her room and to do all the makeUps things, do her hair, her nails yaaniii sijui kama mnanielewa that type of girls eeeh???!!! 
Then at the same time a science-subject genious... From lower levels to University hajawahi kuwa zaidi ya 5 bora, yessss... huamini go and google her DEBORA HENRY MCHAU... primary kasoma Arusha International school, secondary kasoma St.Clara na Loleza girls and chuo yupo KCMC sasa.. she is always the very bestttt!!!! Sijui kusoma pia shule za kishua napo kumechangia, hahahahahahahahahaaaa!!!! Ila nooo, wangapi wanasoma internationa schools wanarudi tuu na uzungu mwingiiiiila kichwani bogaus tuu... Sasa Debby ni mzungu as 99% plus kichwani ni fire!! tena moto wa kuotea mbaliiiiiiiiiiii....
Sasa ninaposema yeye ni doctor wa mwendo kasi muelewe kuwa Debby ni combinationa ya vitu viwili ambavyo kikawaida they dont go along... urembo/ubabyshhh na userious in her studies...
 Ila ni maajabu how she master them vyote kwa pamoja... Tena very well, hadi ukikutana nae in her snap-chart utakataa kama yeye ni kichwa wa science subjects.... Hahahahaaaaaa... 
Go add her on snap chart ujionee mwenyewe, you'll never got her na same hair style kwa wiki mbili, you'll never find her rough even akiwa maabara au theater... yupo smartttt, on pointttt na anafanya mambo za A plus tuu...
 
 
 
Asante Mungu kwa kunipa wadogo wazuriiii na wanaojielewa maana dada yao ninavyopenda mashauziiii, ungekuta wadogo zangu wapo wapo tuu vile waja hawana haya yaani wangeniumbuaaaa..lol.. Sijui ningeuficha wapi uso wangu mie...hahahahahahahahaaaaaaa!!! 
Na sijui ata ningepata kipi mie cha kujishaulia hapaaa...maana mashauzi nayo yanihitaji uwe na vya kujishaulia.....
So mniwacheeee mie nijishaueeee!!!
 
 
 It's amazing how she can still keep up na hii body size...Ame'gain kiasi ila kapendezaaa na hapo ndio mwisho sasa ana'maintain that size... 
Naomba niseme tuu ''shikamoo JKT'' maana na mie natamani niende wanifanyie skimming ya mwili nije nianze upya kuutengeneza...hahahahaa!!! 

Sie kwetu tuna asili ya unene, only our big sisy and Eve ndio hawanenepagi kivileee...ila nao ni wanene tuu kama sisi...
 So vile tukipungua aiseee mjue kuwa tume'struggle mnooo... Na hivi hatunaga stree za kizembe zembe, yeah..sie wote ni free souls...(stree for who??what??) hahahahaaa... ndio maana kupungua sisi kwetu ni serious tough game na ndio maana mie ata nikipunguza tuu 1kg huwa najisifu hatareee...coz naelewa asili yangu ni unene...wembamba naulazimishaga tuu,tena kwa nguvuuuu nyingiii mnooo na ndio maana pamoja na kufanya diet and mazoezi pia ni lazima ni'cheat na dawa za kupunguza mwili...otherwise yaani diet zinadundaga tuu apa!!!
 Blood Sisters....
 Aaaaawww!!! ghafla najikuta WemaSepetu, hahahahaa...
Sura za pesaaa!!! Hahahhaaa...
 Ila mnajua mashauzi nayo yanahitaji pesa eeeh...
Coz ukiwa na ukame wa hela hata sura nayo ina'change aiseee... Na sura ikisha'change wallahy hata ujishaue vipiiiii itaonekana tuu unailazimishaaa... 
Ila tuangalie hapo..... sura zimejaa nuru, apo hizo picha hakuna filter wala nini...labda filter ya jua na kivuli cha mti tuu apo ila ndio kwanzaaaa kama tunamiliki B.O.T wallahy!!!
 
Chekooo chekooo.... Cheko langu hilooooo!!!!
 
 
 
 
Basi sauwaaaa....
Ngoja nikaendelee ku'upload picha za bwana na bi arusi sasa, maana tunavyojishaua kama tuliolewa sie, hahahahaa!!!

Tukutane badae badae...
  XOXO!!!

No comments:

Post a Comment

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT