PUNGUZA MANYAMA UZEMBE....

NO MORE MANYAMA UZEMBE!!!!!!!!
*****KWA DAWA ZA KUPUNGUZA TUMBO NA MANYAMA UZEMBE WASILIANA NA FETTY KWA SIMU NAMBA +255 767 728 764*****
Utatumiwa Popote Ulipo, Just call/ WhatsApp Or Sms +255 767 728 764

Matangazo

Kwa Matangazo Wasiliana Nasi Kwa 0753 891 997

Tuesday, July 22, 2014

MAITI ZA BINADAMU ZILIZOKAUSHWA ZAKAMATWA ENEO LA BUNJU


Habari za asubuhi wapendwa,
Duh, yaani leo nimeamshwa na habari hii ya kusikitisha... Japo picha zinashtua kidogo lakini nimeona tuu niwape na nyie mzione, mjionee hii Tanzania yetu inapoelekea jamani...
Eeeeh Mungu baba tusaidie sie jamani.....
Tukio limetokea usiku  wa Jumatatu July 21,2014, na hio picha ni Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko iliyokutwa na maiti hizo
  Inasemekana maiti zipo zaidi ya 50 na zote zimechunwa ngozi. Ni gari lilikamatwa  likiwa linaenda kutupa takataka kumbe ndani lina izo maiti, na dereva kuulizwa alisema izo ni taka katoka nazo interchick. Kiruuu!!!
Police bado wanaendelea na uchunguzi...
Thanx wote mlionitumia hii habari, please muendelee kunipa updates....

8 comments:

  1. nimeckia eti ni zile wanazojifunzia wanafunzi wa udaktar, ila c wangezizika fresh tuu, na co kuzitupa jalalani

    ReplyDelete
  2. keleuwiiiii yee!!!

    ReplyDelete
  3. Duuuu, nimeisikia pia itv

    ReplyDelete
  4. Unyama wa hali ya juu huo

    ReplyDelete
  5. Unyama wa hali ya juu huo

    ReplyDelete

NGUVU DRINK

NGUVU = Nguvu Zaidi Ni Spirit Drink INGREDIENTS: Fine spirit, Gin flavour & Ionised water "Not For Sale To Person Under The Age Of 18" P.o.Box 54280, Dar es salaam,Tanzania

NGUVU SPIRIT AVAILABLE AT GF MIN-DEPOT